SHIEKA
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,240
- 4,265
Ni uvivu wa mawazo au ni kitu gani? Ukimsikia mbunge akichangia bungeni, ukimsikiliza mtangazaji redioni au kwenye
tv, lazima utamsikia akisema, kimsingi........ Yaani kila mazungumzo sasa hivi ni kimsingi tu. Huko nyuma neno tawala lilikuwa .....swala zima...... Sasa ni kimsingi, kimsingi, nk. Ni maambukizo gani haya makali hivyo?
Yaani inanifanya kuwaza kwamba kama mtu hajatumia hilo neno atashindwa kutoa wazo lake.......kitu ambacho si kweli.
Nakereka sana pale mtu anapolitumia zaidi ya mara moja.Kila kitu kwake ni Kimsingi tu.........kimsingi.Naona ni aina ya uvivu wa lugha.
tv, lazima utamsikia akisema, kimsingi........ Yaani kila mazungumzo sasa hivi ni kimsingi tu. Huko nyuma neno tawala lilikuwa .....swala zima...... Sasa ni kimsingi, kimsingi, nk. Ni maambukizo gani haya makali hivyo?
Yaani inanifanya kuwaza kwamba kama mtu hajatumia hilo neno atashindwa kutoa wazo lake.......kitu ambacho si kweli.
Nakereka sana pale mtu anapolitumia zaidi ya mara moja.Kila kitu kwake ni Kimsingi tu.........kimsingi.Naona ni aina ya uvivu wa lugha.