Asili100 JF-Expert Member Joined Dec 4, 2012 Posts 240 Reaction score 181 Oct 2, 2013 #1 hili ziwa lipo huko Marekani, jina lake ni Chargoggagoggmanchauggagoggchaubunagungamaugg, watu wamekua wakiliandika tu huku wakishindwa kulitamka.... dunia ina mambo.
hili ziwa lipo huko Marekani, jina lake ni Chargoggagoggmanchauggagoggchaubunagungamaugg, watu wamekua wakiliandika tu huku wakishindwa kulitamka.... dunia ina mambo.
Mjuni Lwambo JF-Expert Member Joined Apr 25, 2012 Posts 11,133 Reaction score 12,361 Oct 2, 2013 #2 Hebu rudia tena, linaitwaje?
Amavubi JF-Expert Member Joined Dec 9, 2010 Posts 30,156 Reaction score 13,258 Oct 6, 2013 #3 hii lugha si ya kimarekani au walikua wanajaribu slang?