Hili neno SANDA liondolewe mara moja kwenye jezi ya Simba

Hili neno SANDA liondolewe mara moja kwenye jezi ya Simba

babu onyango

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2023
Posts
378
Reaction score
984
Hii haikubaliki hata kidogo, Neno Sanda haliwezi kukaa mbele ya jezi ya klabu yetu, tena kifuani kabisaa.

Uongozi wa Simba mbona mmelala sana?

Haya mambo yanawezaje kufanyika na ninyi mpo?

Hata kama SANDA ni ufupisho wa jina lake, basi ndio aliandike mbele ya jezi yetu?

Yaani kwq mfano atokee mtu ananitwa Makalio, akashinda tenda ya kutengeneza jezi ya Simba, je mtakubali aaandike jina lake hilo la 'Makalio' mbele ya jezi ya Simba?

Uongozi napaswa kuhakikisha hili neno linatolewa kwenye jezi ya Simba
 
Mzigo uliofika ni mkubwa mnoo kiasi hawawezi tena rekebisha, labda tusubiri uishe .
 
Na usikute wameteleza waweza ona wamezamilia kabisa.

Maana hata jina la mzabuni sijui ndio diseginer hakuna neno SANDA ni SUNDER

Asa si wangeweka neno SUNDER AU SUNDEL au hata kama ilikuwa ni lazima basi si lingekaa hata nyuma ya JEZI kwa chini. Au hata kwenye pindo Asa kuliweka kifuani ndio kujitangaza (kujibland) huo ni uchawi.

Au angeweka neno tu neno SAND
 
Hili halikubaliki hata kidogo...Hilo neno halifai kuwa front
 
1721848498160.jpg
 
Hii haikubaliki hata kidogo, Neno Sanda haliwezi kukaa mbele ya jezi ya klabu yetu, tena kifuani kabisaa.

Uongozi wa Simba mbona mmelala sana?

Haya mambo yanawezaje kufanyika na ninyi mpo?

Hata kama SANDA ni ufupisho wa jina lake, basi ndio aliandike mbele ya jezi yetu?

Yaani kwq mfano atokee mtu ananitwa Makalio, akashinda tenda ya kutengeneza jezi ya Simba, je mtakubali aaandike jina lake hilo la 'Makalio' mbele ya jezi ya Simba?

Uongozi napaswa kuhakikisha hili neno linatolewa kwenye jezi ya Simba
SANDA ITAENDELEA KUWEPO SISI NDO TUMETAKA IWE HIVYO YANGA JINYONGENI.HAKUNA ALIYETUPA MSAADA WA KUNUNUA JEZI
 
Hilo neno ni uthibitisho kuwa uongozi wa Simba hauko pamoja ni dharau hata kama ni kifupi bora angeandika jina lote tu
 
Walikurupuka kuzitoa haraka haraka, nafikiri washauri hawajafanya kazi zao vizuri

Utashangaa kwenye jezi zijazo ataandika SANDALAND
 
Back
Top Bottom