Mchepuko1 JF-Expert Member Joined Sep 18, 2018 Posts 215 Reaction score 103 Oct 12, 2018 #1 Ushawahi pitiwa kitandani ukakojoa acha hiyo wale kuota usiku mpaka unaamua kushare ndoto kwa kuongea huku umelala .mie niliota tunapigana acha mwenzangu nimpe kipigo cha adabu alikimbia akasababisha mshikemshike bwenini wote tulikutana parade area
Ushawahi pitiwa kitandani ukakojoa acha hiyo wale kuota usiku mpaka unaamua kushare ndoto kwa kuongea huku umelala .mie niliota tunapigana acha mwenzangu nimpe kipigo cha adabu alikimbia akasababisha mshikemshike bwenini wote tulikutana parade area
Your Majesty JF-Expert Member Joined Aug 29, 2018 Posts 3,242 Reaction score 5,345 Oct 12, 2018 #2 Mimi sijawahi
Mchepuko1 JF-Expert Member Joined Sep 18, 2018 Posts 215 Reaction score 103 Oct 12, 2018 Thread starter #3 Sapta Sapta said: Mimi sijawahi Click to expand... Unabahati
Your Majesty JF-Expert Member Joined Aug 29, 2018 Posts 3,242 Reaction score 5,345 Oct 12, 2018 #4 Babido said: Unabahati Click to expand... [emoji120]
Mbaga Jr JF-Expert Member Joined May 28, 2018 Posts 29,028 Reaction score 69,666 Oct 12, 2018 #5 uliyempiga hajakufunua marinda kulipiza ?
Kunguru wa Manzese JF-Expert Member Joined Apr 20, 2016 Posts 12,729 Reaction score 18,119 Oct 12, 2018 #7 niliota wanaume wa dar wameandamana wakizunguka mitaa mbalimbali wakidai haki zao na kupinga unyanyaswaji wanaofanyiwa na kina mama
niliota wanaume wa dar wameandamana wakizunguka mitaa mbalimbali wakidai haki zao na kupinga unyanyaswaji wanaofanyiwa na kina mama