Hili ni Gari la kampuni gani.

Hili ni Gari la kampuni gani.

hiden

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2015
Posts
376
Reaction score
691
Waungwana nisaidieni...
Nijue bei...
Ushuru...
Specifications zake...
Nk..
58409065_288046925438615_4452953790273794124_n.jpeg
 
Hii lazima irudi kama pesa ili kujengea hospital na zahanati by 2026.
 
Infiniti hiyo

Premium/luxury car kutoka kweny division ya Nissan..hatar mkuu hiko chuma

Nissan skyline ya 2014 ina iyo logo

Unaweza cheki baadhi ya magari hapa


Unachanganya mambo mkuu,hapo ni sawasawa na kusema zile toyota harrier wabongo wameziwekea logo za lexus rx.

Hicho chuma unachokiongelea ni infiti g35/g37.
 
Naona limeandikwa RC DSM nadhani ni mali ya serikali yeye hajagharamika kwa lolote kulinunua
 
Eti eeh..kumbe ma-Rc wa mikoa mingine wazembe tu wanashindwa kuwa na ma Range na hizo infinity wakati mwenzao anaomba na kupewa [emoji16][emoji16][emoji16]
Naona limeandikwa RC DSM nadhani ni mali ya serikali yeye hajagharamika kwa lolote kulinunua
 
Unachanganya mambo mkuu,hapo ni sawasawa na kusema zile toyota harrier wabongo wameziwekea logo za lexus rx.

Hicho chuma unachokiongelea ni infiti g35/g37.
Hio ni branch ya Nissan iliyoko Marekani inatumia hiyo nembo but everthing ya hiyo gari ni nissan kama ilivyokuwa toyota duet na daihatsu storia kila kitu cha hizo gari ni daihatsu
 
Hio ni premium brand ya Nissan na huwezi kusema eti Nissan Skyline ina badge ya Infiniti,never.

Ni sawa na kusema eti hizi Harrier za kibongo zilizowekewa badge ya Lexus Rx 300/330/350 ni sawa sawasawa na Lexus RX zenyewe.
Hio ni branch ya Nissan iliyoko Marekani inatumia hiyo nembo but everthing ya hiyo gari ni nissan kama ilivyokuwa toyota duet na daihatsu storia kila kitu cha hizo gari ni daihatsu
 
Back
Top Bottom