Hili ni gonjwa au mazoea mabaya.?


Hivi na waschana hua wanafanya hivyo? Wenyewe hawadhuriki? Au ni wanaume tu.
 

Saingine bora afanye hivo kuliko akatembee na mijitu impe gono na magonjwa mengine bure.
 
Ulale na bible kwa kitanda, im sure utapa hofu ya mungu na ataona aibu kufanya hivyo na neno la mungu liko hapo.
 
mmhh antena ya maisha hayata kaa sawa dear
we borea uoe tu ..
maana sasa waweza kufanikiwa halafu
kitu kingine kitokee..

hii ni sawa na ile "Si zai mpaka niwe na uwezo"

we borea uoe tu my dear..
labda kujichua hutaacha lakini utapunguza
kwa kiasi kikubwa sana dear..

kila lakheri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…