Hili ni janga kama Janga Jingine

Hili ni janga kama Janga Jingine

Mivyumba

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2017
Posts
275
Reaction score
533
ANAOMBA USHAURI

Naomba unipostie kwa group Wamama wanishauri
Mume wangu kanuna wiki ya pili, sababu ya kujinunisha hata siijui jamani, hajanigusa siku zote.

Sasa Mungu sio athumani, Kwenye simu yangu kaweka google acc yake kama backup, Sasa sijui nkawa napekenyua nn nkajikuta nimebackup acc yangu kwenda acc ya mume ya google, Ile nimeingia jmn jmn nmekuta mwanaume kaingia sijui michepuko escort tanzania (nunua malaya hapa).

Mara mavideo ya x kibao alikua anaangalia kumbe hanifanyi mm sijui ndo anapiga punyeto kupitia hizo xvideos sielew hata, Na muda alioangalia ni kuanzia wiki moja Na nusu zimepita mpk leo, Anaangalia akitoka ofisini sijui Maana muda umeonesha ni kuanzia saa 12 jion, Na akirud kutoka ofisini anaondoka chap anarud saa 3 usiku, Na usiku analala mzungu wa nne.

Sasa anaenda dodoma jumamosi Nmeona pia kagugo malaya Dodoma,Yaan nmechoka kabisa, Simu yake sikuiz anaizima kila saa akiwa nyumbani, Kama leo nimeshtukia aliiweka kwenye droo akafunga Na funguo.

Naomba wamama mnisaidie mawazo nimwambie nilichokiona Au ninyamaze Na niishi nae vipi sasa.

Yaan mm nimechoka jamani kwamba kashanunua malaya hao Au nn, Msaada wa mawazo wapendwa.
 
Mimi sio m'mama wala mwanamke, ila kamwambie akome kushika simu ya Mwanaume.

Ngoja tuwangoje wanawake wenyewe waje kutoa ushauri.
Haujaelewa kilichoandikwa??
Hajagusa Simu ya mume wake but ni google acc
 
Haujaelewa kilichoandikwa??
Hajagusa Simu ya mume wake but ni google acc
Same. Kua na account ya Google unaweza ona Photos, search history, contacts, YouTube history, na kama ni Android unaweza hadi kuona msg na calls kwa ku-push App.

Sio backup email, backup email inafanya kazi ya 2 factors authentication au siku ukisahau password.
 
ANAOMBA USHAURI

Naomba unipostie kwa group Wamama wanishauri
Mume wangu kanuna wiki ya pili, sababu ya kujinunisha hata siijui jamani, hajanigusa siku zote.

Sasa Mungu sio athumani, Kwenye simu yangu kaweka google acc yake kama backup, Sasa sijui nkawa napekenyua nn nkajikuta nimebackup acc yangu kwenda acc ya mume ya google, Ile nimeingia jmn jmn nmekuta mwanaume kaingia sijui michepuko escort tanzania (nunua malaya hapa).

Mara mavideo ya x kibao alikua anaangalia kumbe hanifanyi mm sijui ndo anapiga punyeto kupitia hizo xvideos sielew hata, Na muda alioangalia ni kuanzia wiki moja Na nusu zimepita mpk leo, Anaangalia akitoka ofisini sijui Maana muda umeonesha ni kuanzia saa 12 jion, Na akirud kutoka ofisini anaondoka chap anarud saa 3 usiku, Na usiku analala mzungu wa nne.

Sasa anaenda dodoma jumamosi Nmeona pia kagugo malaya Dodoma,Yaan nmechoka kabisa, Simu yake sikuiz anaizima kila saa akiwa nyumbani, Kama leo nimeshtukia aliiweka kwenye droo akafunga Na funguo.

Naomba wamama mnisaidie mawazo nimwambie nilichokiona Au ninyamaze Na niishi nae vipi sasa.

Yaan mm nimechoka jamani kwamba kashanunua malaya hao Au nn, Msaada wa mawazo wapendwa.
Pole sana nipe namba yako pm
 
Hajakugusa Wew unaamuangalia tu SI umguse muombe game 😂😂😂😂
 
apostle kuna muujiza huku,
Nini kimetokea?
Ni wiki mbili sasa huyu mwanaume hajagusa mbususu ya mke wake
 
Kumekuchaaa!!!! Mapenzi) ndoa/ mahusiano na hekaheka zakeeeee!!!
Hatari sana
 
1.Mtu hawezi kununa bila sababu huenda kuna jambo limetokea na mkabishana ama wewe ukawa mbishi akaamua kutulia ila haijaisha.
2. Kama alivyosema mkuu kule juu huenda pia kwenye game we msumbufu unajipangia mambo yako hutaki kile apendacho.. ila kwenye hili angalizo kama ametaka mambo ya ki ibilisi hapo sawa kataa, ila sio ati vitu vya kawaida tu unajikuta gogo mpaka hamu imemuisha kwako.
3. Hizo escort kama anaanhalia video probably kama atafika sehemu hao escort wakawa karibu anamkula .
4. Anavyo zidi kukithi haja yake nje na kwa njia ajuavyo yeye ndivyo upendo na uzito wako kwake unapungua au kuisha. NUKTA
 
Back
Top Bottom