Fiesta inaanza lazma Ruge apate mbadala wako ambaye bei yake itakuwa ndogo. Lazma Ali awe mkubwa. Mdogo wangu Dai unakumbuka kwann inapokalibia fiesta tu basi mazingira yanaandaliwa ya Kiba kupandishwa. Juzi umejichanganya mwenyewe ulipoambiwa changamsha mziki kwa bit LA fresh eti wanasiasa wana kiki now..ukatoa verse, ukajichanganya..imekucost..
Kiba katoa nyimbo, kuna mdau 1 clouds akaniambia usiku na ww utatoa nyimbo..ukatoa..ikakucost tena.
Nasibu Abdul hajawahi kuwa adui na Clouds Media. Tatzo ni Udiamond wako. Tatzo ni kuwa maarufu zaidi yao nje na ndani ya Nchi. Tatzo bei yako ya show..napenda spirit yako..unajua hata shigongo anakuchukia sana..kisa tu ulikataa kupiga show kwa 10 mil mbagala. Eti unalinga..diamond we hulingi..but unajua thamani yako.
Sisi wadanganyika tunaaminishwa eti Kiba mkali..seriously..?? Shilawadu wadau wako walikuponda sana kwenye kipind chao juzi..eti hata kutukanwa ulijitakia.., 360 Leo wamemaliza kabsa..eti kiba mkali sana. Haumuwezi.
Kiba anapandishwa kwa sababu ya Fiesta. Hawa wakina dulla, kimambi mkumbo tu wanacheza ngoma wasiyoijua.
Hii yote ni fiesta tu..anatafutwa msanii aonekane anacaliba yako but bei yake ndogo. Kiba atazunguka Fiesta zote kwa malipo ya 3 milion kwa show ( kiba huwa anapiga show hata club hii pesa) wewe huwez kukubali hii. Fiesta watakayoweza kukulipa ni ya dar tu.
Diamond hauna dharau kabsa, upo humble, msela..mcheshi..!! Watu wanakushauri eti sallam hakufai..Sallam anakufaa sana, lazma uwe na meneja msela, mwana, muhuni,.msela sallam wa forest Moro kazi anaifanya vizuri sana.
Ushauri
1- Kuwa na wigo mkubwa wa Media ( unajua hata efm hawapigi ngoma zenu kivile( ongea na Mlezi wenu hili dogo kwake) wakina dulla wanasema unadharau sana. Eti ww kila kitu clouds yaani wao unawachukulia poa. Ongea nao yaishe..hakuna msanii alikua juu ya Media.
2- Imarisha brand & PR. Tafuta mtu wa kupost picha zako na kuandika kwenye account yako. Wewe ni mzuri kwenye kuimba tu..haya ya kupost mtafute mtu sahihi. Usiwape sababu..
Juzi umeandika bitch dying for fame..usinge andika bitch..ungecheka tu basi.
3- zikaushie siasa. Naishia hapo.
Last, kiba siyo size yako. Kuwa makini sana na Clouds unakunbuka fiesta ya mwaka juzi walivyoinjinia mpaka ukazomewa..mwaka Jana hukushiriki na mwaka huu usishiriki. Andaa show zenu wenyewe na wapambe wenu km wakina shish baby, killer, stamina..n.k
Clouds wamedhamiria kukushusha kabsa. Hawakuchukii tatzo bei yako. Clouds wanaamini wao ni wakubwa sana kwahyo hutakiwi ku bagairn. Wasanii bila kuwa kitu kimoja mtakawanywa sana.
Kwepa kumzungumzia kibakuli au yule sijui mange Kimavi asiye jua hata mipaka yake.
Sangoro sangoro sangoro...X 3
Ooohh ooooh ohhhho
Kibakuli ni anabebwa sana..but laiti angekuwa na kipaji hata robo yako tungeongea mengine..tatzo kiba uwezo mdogo.
Kwani kale ka mange kimavi kanakupa homa kale..!!
Kuchukiwa na Wema, Jokate, Penny, Wolper hiyo kawaida sana..pay the price brother. Ulikula wote hawa. Ulifaidi japo. Kwahyo vitimu vyao visivyo hata na usajili tegemea tu matusi yao.
Kiba katoa nyimbo, kuna mdau 1 clouds akaniambia usiku na ww utatoa nyimbo..ukatoa..ikakucost tena.
Nasibu Abdul hajawahi kuwa adui na Clouds Media. Tatzo ni Udiamond wako. Tatzo ni kuwa maarufu zaidi yao nje na ndani ya Nchi. Tatzo bei yako ya show..napenda spirit yako..unajua hata shigongo anakuchukia sana..kisa tu ulikataa kupiga show kwa 10 mil mbagala. Eti unalinga..diamond we hulingi..but unajua thamani yako.
Sisi wadanganyika tunaaminishwa eti Kiba mkali..seriously..?? Shilawadu wadau wako walikuponda sana kwenye kipind chao juzi..eti hata kutukanwa ulijitakia.., 360 Leo wamemaliza kabsa..eti kiba mkali sana. Haumuwezi.
Kiba anapandishwa kwa sababu ya Fiesta. Hawa wakina dulla, kimambi mkumbo tu wanacheza ngoma wasiyoijua.
Hii yote ni fiesta tu..anatafutwa msanii aonekane anacaliba yako but bei yake ndogo. Kiba atazunguka Fiesta zote kwa malipo ya 3 milion kwa show ( kiba huwa anapiga show hata club hii pesa) wewe huwez kukubali hii. Fiesta watakayoweza kukulipa ni ya dar tu.
Diamond hauna dharau kabsa, upo humble, msela..mcheshi..!! Watu wanakushauri eti sallam hakufai..Sallam anakufaa sana, lazma uwe na meneja msela, mwana, muhuni,.msela sallam wa forest Moro kazi anaifanya vizuri sana.
Ushauri
1- Kuwa na wigo mkubwa wa Media ( unajua hata efm hawapigi ngoma zenu kivile( ongea na Mlezi wenu hili dogo kwake) wakina dulla wanasema unadharau sana. Eti ww kila kitu clouds yaani wao unawachukulia poa. Ongea nao yaishe..hakuna msanii alikua juu ya Media.
2- Imarisha brand & PR. Tafuta mtu wa kupost picha zako na kuandika kwenye account yako. Wewe ni mzuri kwenye kuimba tu..haya ya kupost mtafute mtu sahihi. Usiwape sababu..
Juzi umeandika bitch dying for fame..usinge andika bitch..ungecheka tu basi.
3- zikaushie siasa. Naishia hapo.
Last, kiba siyo size yako. Kuwa makini sana na Clouds unakunbuka fiesta ya mwaka juzi walivyoinjinia mpaka ukazomewa..mwaka Jana hukushiriki na mwaka huu usishiriki. Andaa show zenu wenyewe na wapambe wenu km wakina shish baby, killer, stamina..n.k
Clouds wamedhamiria kukushusha kabsa. Hawakuchukii tatzo bei yako. Clouds wanaamini wao ni wakubwa sana kwahyo hutakiwi ku bagairn. Wasanii bila kuwa kitu kimoja mtakawanywa sana.
Kwepa kumzungumzia kibakuli au yule sijui mange Kimavi asiye jua hata mipaka yake.
Sangoro sangoro sangoro...X 3
Ooohh ooooh ohhhho
Kibakuli ni anabebwa sana..but laiti angekuwa na kipaji hata robo yako tungeongea mengine..tatzo kiba uwezo mdogo.
Kwani kale ka mange kimavi kanakupa homa kale..!!
Kuchukiwa na Wema, Jokate, Penny, Wolper hiyo kawaida sana..pay the price brother. Ulikula wote hawa. Ulifaidi japo. Kwahyo vitimu vyao visivyo hata na usajili tegemea tu matusi yao.