magesa sam
Member
- Aug 16, 2017
- 50
- 39
wacha kulinganisha nampa papa na vitu vya kijinga!
Fire gani wakati bakuli linakimbizwa kwenye tuzo na mafanikio?unaimba ili uburudishe ili upate mafanikio at the same tym na burudani Hilo bakuli hata kucheza halijui yaan lina suvive kwa mgongo wa Mond tu hasa madem mod aliowagegedua yaan nikafisi tu hako kakibakuli.Hahahaaa sikupatii unaposeduce sa hv, mkuu punguza hasira halafu take it easy, yaani kiba toka wimbo wake wa kwanza sinderela mpaka huu wa sasa seduce me hakuna wimbo ulowahi kuchuja ..ukipigwa popote tu lazma utingishe kichwa, kitu Kama Mac muga , mapenzi yana run dunia, naksh naksh , mwanadsm, AJE, aaah kiba ni firee aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa wala hujakosea, mond anajifarij na anatafuta pakupumlia tu.Wataalamu wa saikolojia tunahisi kuna kitu kinaendelea kwenye ndoa yake na zari...
pia issue ya mobeto itakuwa imekinukisha kwenye ndoa ya mchizi so kavurugwa na frastration za mkewe...
anaongea na kuropoka kwenye mitandao hovyohovyo kumbe siteresi za zari na mobeto na huku kiba anawapeleka puta basi balaa tupu.
kwa mujibu wa vipimo vya mkemia mkuu
Kweli kuna watu wanajua kumchukia mtu doh!!! Sijui na mapepo yapo mmhhhh sio kwa chuki hii jmn utadhani unalipwa???We kweli bwege mtozeni! Hilo bakuli lenu lina ngoma gani kali kumshinda mod? Kwenye matuzo hilo bakuli likae mbali kabisa na kwenye success hapo ndio kabisaaa hilo bushman likacheze na matembo yake tu!
Sikuizi kuna mziki mzuri???? Mziki wa zamani ndio mziki radha ya mziki haiishi, lakini nowdays mtu anatoa ngoma leo kesho radha imeishaPoint tupu...ni wazi kabisa kuna nguvu kubwa inatumika kumshusha Dai na kumpandisha kibakuli. Naamini mziki mzuri utaishi milele na Juhudi huwa hazidanganyi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe wasemaHabari yako inalenga kwenye Ubaguzi na U team moja kwa moja.. yaani una Duku duku na upande mmoja
Sifuatilii mziki ila umeongea mambo ya msingi sana. Dogo inabidi apitie hapaNa huo ndiyo ukweli..clouds wame injia yote haya