Hili ni jaribio la 3 la Clouds FM kumshusha Diamond, naamini utashinda tu

06/07 mwana anaenda kwa kiba kuomba kolabo,tunatimba kwao mchikichini,anaitwa anatuletea mapozi,aah mwaanangu lazima utoe kila ndio naingiza vocal.........mtoto wa kiume anajisikia sijapata kuona
 
Yuko wap ruby,??? Mana nandy leo anapaishwa kuliko uwezo wake...sema kiba kila sherehe za itv anaenda kupga show...naona bei yake ndogo..mond kinachomkost ni kujiweka matawi saaaana...bila milion kadhaa hapig show...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiburi cha pesa mkuu huwa kinakuja Automatic bila mtu kujua
 
Kiba ajitahidi tu kwa kweli, mondi kajiwezea,juhudi za kumshusha naona zimepamba moto kwa kumuongezea muamala bint kimambi ili walao tuamini mkali ila kiba bado nyota yake Sio ki viile

Sent using Jamii Forums mobile app

Wahenga walisema kila mpanda ngazi hushuka, Dai ndio huyo anashuka, Kiba naye akifika juu atashuka na wengine watapanda na watashuka pia. Msitoke mapovu
 
Wahenga walisema kila mpanda ngazi hushuka, Dai ndio huyo anashuka, Kiba naye akifika juu atashuka na wengine watapanda na watashuka pia. Msitoke mapovu
Kupanda bila juhudi wapi na wapi? Hao mashabik ukiwa na juhudi utapanda tu,sa kwa kiba hakuna chochote zaidi ya wenye chuki na mondi ndo wanaotia kelele. Kiba apambane,aonyeshe uwezo kweli kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akuna anae mshusha anajishusha mwenyewe, Kwanini Alitoa wimbo kisa kiba katoa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fupisha basi!!!
Kelele kibao. Huku ukilamikia ugali.

JPM KAMATA WEZI
 
seduce me ngoma ya kawaida saana sijaona ukali wake sema chuki za watu kwa diamond, hata muziki ya darassa haikua kali ila team kiba na madui wote wa diamond waka join forces ili kumumiza diamond ndo muziki ika hit ila asaivi iko wapi? ni nyimbo ya kawaida tuh. diamond nouma na awa muezi ushauri mzuri umempa mkuu. diamond level nyingine.
 



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata ukipewa kazi ya kuchafua na ujue ukiambiwa safisha uasafiahaje njaa itakuua maana unaandika vitu hata details huna mdogo wangu
1.Hujui tofauti kati ya Hit song na popular song hujui nani hit maker nani song writer na sikuambii sitaki nikupe faida kaa na ujinga wako
2.Waliompandisha diamond siyo clouds?acha wivu wa kijinga kwahiyo unatamani miaka yote diamond atawale mziki wetu wapumbavu kama nyie ni wengi na ndiyo maana sanaa yetu haikui kwa kutokuwa na mipango ya kuzalisha watu wapya alafu mnataka kushindana na Nigeria na south africa bora hata ungewazungumzia wale vijana rayvan rich mavoko au harmonize
3.Media kubwa kuliko msanii umeshaongea unajokanyaga tuu nikusahihishe usiingize ishu zako binafsi kwa ruge au labda umetumwa na bashite ile ni system ya kukuza mziki au mabadiliko na mabadiliko siku zote yanakuja na sura tofauti yanaweza kujenga au kubomoa sawa form 4
4.Seven ni mchaga yule na hajawai fanya kazi clouds
5.hili la fiesta siwez kulisemea ila nna uhakika na wewe hujui pia kwa taarifa yako mwaka jana Diamond alienda kuomba mwenyewe kuperform fiesta ya Dsm baada ya kuona clouds wamempotezea soo uliza mambo kaka
6.Inaonekana Sallam ndiyo aliyekupa kazi ya kuandika huu uzi humu unamjua sana au shemeji yako nini maana unamjua hadi alipotoka haya tuambie kampuni yenu wewe na sallam ya Dizzim Online mmepata ofisi mpya naskia pale pa zamani mmefukuzwa wanaume wanaingiliana wenyewe kwa wenyewe
7.Diamond ni brand tena kubwa mim mwenyewe nmeanza kula karanga zile baada ya kuona jina la diamond na matangazo yake Diamond ni mkubwa sana haina haja ya kushindana na Ally kiba tatizo la Diamond hao Clouds ndo wamempa Jeuri ya kuvimbia media zengine earadio efm times sijui kama wanapiga nyimbo zake eti una mshauri amfate boss wenu Bashite amalize tatizo maji ya shingo eeh




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeandika kituko..kwahyo mwaka Jana unasema alikuja kuomba kufanya fiesta ikawaje sasa.
 
Mi nachojua kua diamond ana mkataba na Voda ilhali fiesta inadhaminiwa na tigo, hebu jiongeze
Exactly hata mwaka jana aliliongelea hilo, kwamba haweza kufanya show za fiesta kwasababu ya mzamini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…