Hili ni jiji la Makamba: Usitumie maji ya Kandoro kumwagilia mti wa Makonda!

Nichumu Nibebike

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2016
Posts
8,658
Reaction score
15,793
Ha haa!
Ukija mjini ujiandae kuishi kwa masharti.
Mwenye nyumba anakwambia mwisho wa kuingia getini ni saa mbili usiku, wakati mwajiri anakwambia kutoka kazini mpaka saaa nne usiku. Yani ni full kukuchanganya changanya...
Sasa hapa tena naye Makonda ndio ananchanginyi, anasema eti kila mtu awe na mti wake! Mti wangu Bongo? Hicho kiwanja chenyewe nakisikia kwenye bomba, huo mti napanda wapi?
Mwambieni Makonda asubuiri nikifa mkapande mti wa Kisanvu kwenye kaburi langu...Huo ndo utakuw mti wangu...πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Umeacha nimecheka kwa sauti mleta uzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…