Haizidi elfu 30Bei yake ikoje kwa tani?
Ok. ThanksHaizidi elfu 30
ππ πππππ[emoji3][emoji3][emoji3]ukipata mkondo wake umapata tani yako shida iko kwenye soko
Viwanda vya chuma wanachukua lakini si tani moja au mbili... Utatakiwa kwa mwezi uwe na uwezo wa ku supply si chini ya tani 2000[emoji38][emoji28][emoji1][emoji2][emoji23][emoji16][emoji3]
Unaweza Kuwa Na Tani Usione Soko
Ukawa Nayo Kama Pambo
Itabidi, kumekauka kinoma noma! π€£Hali ngumu jamani, khaaa mpaka watu wanagundua madini
Kweli mkuu....jamaa anaonekana ni mchafu sana.Nail cutter hilo lifanyie kazi [emoji852]