chiziwafursa
JF-Expert Member
- May 22, 2024
- 558
- 827
Sina uhakika ndio maana nimekwambia maisha ya uzeeni ni maamuzi ya mtu kama kusipotokea kifo au janga loloteUna uhakika upi wa kufika uzeeni ?
Sasa na nyie pia msiwe na kanuni kwamba mtu asipokuwa na familia uzeeni atapashida. Hakuna formula ya mtu katika age flani asipokuwa na kitu flani kwamba atateseka hiyo kanuni haipoSina uhakika ndio maana nimekwambia maisha ya uzeeni ni maamuzi ya mtu kama kusipotokea kifo au janga lolote
Ipo tena sana Tu ila usije nishawishi kuwa hujui uzeeni ukifika utaishijeSasa na nyie pia msiwe na kanuni kwamba mtu asipokuwa na familia uzeeni atapashida. Hakuna formula ya mtu katika age flani asipokuwa na kitu flani kwamba atateseka hiyo kanuni haipo
Hakuna ajue kesho. Namna ipi utaishi uzeeni, unaweza iandaa leoIpo tena sana Tu ila usije nishawishi kuwa hujui uzeeni ukifika utaishije
Sasa utaandaaje kitu bila maamuzi ?π€π€ πππHakuna ajue kesho. Namna ipi utaishi uzeeni, unaweza iandaa leo
maamuzi yepi yawepo ili ujue mtu anajiandaa na uzee ?Sasa utaandaaje kitu bila maamuzi ?π€π€ πππ
Hapo ni maswala binafsi ila hapa duniani hakuna kitu cha bahati mbaya je walifahamu hilo ?maamuzi yepi yawepo ili ujue mtu anajiandaa na uzee ?
Maisha ni fumbo, hakuna anateka akutwe na baya lolote.Hapo ni maswala binafsi ila hapa duniani hakuna kitu cha bahati mbaya je walifahamu hilo ?
π€π€Maisha ni fumbo, hakuna anateka akutwe na baya lolote.