Paul Buchira
R I P
- Aug 5, 2013
- 1,043
- 564
AsantePole sana mkuu
Acha kumtisha Mwenzako Nyau wewe.moto wa kuzimu uko nawewe...pole
wacha kumtia mwenzio moyo ilhali anaangamia panya weweAcha kumtisha Mwenzako Nyau wewe.
[emoji22] [emoji22] [emoji22] [emoji22] Sawa.wacha kumtia mwenzio moyo ilhali anaangamia panya wewe
Habari ya leo ndugu zangu, ninatatizo hilo kipindi cha mwaka sasa ilitokea kama viupele vinawasha nikakuna ikawa hivyo nini chanzo au dalili ya nini...
Asanten sana.View attachment 753293
AsanteKacheki hospitali kwa mtaalamu wa ngozi
moto wa kuzimu uko nawewe...pole
Litokalo lipimwe kabla ya kutokawacha kumtia mwenzio moyo ilhali anaangamia panya wewe
Bila shaka chanzo cha tatizo lako ni uchafu!
Hii miguu si ndio ile inachanaga mashuka?
Naona amewekewa R.I.P hapo mkuuBila shaka chanzo cha tatizo lako ni uchafu!
Hii miguu si ndio ile inachanaga mashuka?
Last seen june 23Kumbe jamaa kashafariki
Kweli mkuuLitokalo lipimwe kabla ya kutoka
So sad 😥😥Kumbe jamaa kashafariki