Hili ni tatizo gani?

NZURI PESA

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2011
Posts
5,958
Reaction score
2,954
Habari wandugu.Kuna rafiki yangu ana KITU KINACHOCHEZA TUMBONI kama Ujauzito,na amejaribu kupima haja ndogo kwa UPT hana Ujauzito.Amekwenda klinik ya wajawazito mapigo yapo na ametakiwa kurud baada ya miezi 2.Anapenda kujua aweza kuwa na tatizo gani? Na tiba yake yapatikana wapi?nawasilisha
 
Aiseee babaangu huyo rafiki yako ni jinsia gani????
 
ultra sound imeonesha nini??

Haihusiani na ini kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…