mgangawaukoo
JF-Expert Member
- May 8, 2016
- 2,183
- 2,390
Atakua anamdanda tu kama baiskeli ya phonex! Hata baiskeli inatiwa grisi kabla ya kuendeshwanyie wanaume hamjawajua wanawake! nawaamben hapa ukiona kila sk mwanamke anatoavisingizio vingiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii jua UNAMBOA KUNAKO MAJAMBOZI!
binafs bora nisisex kuliko kupakazana tu sperms! ukweli mchungu lakin ndo hvyo! hv nan anakAtaa utaamu?? yaan ukatae utamu wa dyudyu weee nan kasema?? ukiona hvyo jua humridhishi mkeo! JIPANGE
Utakua mvulana wewe mwanaume gani huyo ajitokeze hapa!Na nyie wanawake hamjatujua vizuri wanaume. Nawambieni hapa kwamba tunapenda zaidi mpira kuliko nyie...!! Na EPL imeanza
Sent using Jamii Forums mobile app
Kanyimwa siku moja kafungua thread[emoji3]Mkeo kakunyima nini leo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] povuu
Ndio wiki nzima?kwahyo km nimechoka sitakiw kusema au?
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
[emoji102]nyie wanaume hamjawajua wanawake! nawaamben hapa ukiona kila sk mwanamke anatoavisingizio vingiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii jua UNAMBOA KUNAKO MAJAMBOZI!
binafs bora nisisex kuliko kupakazana tu sperms! ukweli mchungu lakin ndo hvyo! hv nan anakAtaa utaamu?? yaan ukatae utamu wa dyudyu weee nan kasema?? ukiona hvyo jua humridhishi mkeo! JIPANGE
Dume la mbegu halichoki.........yani NO DIE NO REST hivo yani.......Hivi na nyie mkichoka kutoa tuwafanyeje?
Dume la mbegu halichoki.........yani NO DIE NO REST hivo yani.......Hivi na nyie mkichoka kutoa tuwafanyeje?
Unavumilia ili kumridhisha mwenzio ndio maana ya ndoa, ila kama ni wapenzi tu ruksa kuchokakwahyo km nimechoka sitakiw kusema au?
Sasa siaseme tu bila konakona,unajua kinachoharibu mapenzi ni ukimya na visingizio kibao, pasipo kusema ukweli mtu huweza kukufikiria mengine menginyie wanaume hamjawajua wanawake! nawaamben hapa ukiona kila sk mwanamke anatoavisingizio vingiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii jua UNAMBOA KUNAKO MAJAMBOZI!
binafs bora nisisex kuliko kupakazana tu sperms! ukweli mchungu lakin ndo hvyo! hv nan anakAtaa utaamu?? yaan ukatae utamu wa dyudyu weee nan kasema?? ukiona hvyo jua humridhishi mkeo! JIPANGE
Mtushawishi kwa mitego na manjonjo kibao hamu itakuja tuHivi na nyie mkichoka kutoa tuwafanyeje?
Mbona kula huchoki?kwahyo km nimechoka sitakiw kusema au?
Inachangiwa na mwanamke kutokua mchangamfu kitandaniNa sisi wanawake wengine tunapika mnavimbiwa na vitambi mnaota, tunafanya yote, ikifika kitandani dakika 2 mmemaliza, afu mnakoroma mfyuuu
Hivi na nyie mkichoka kutoa tuwafanyeje?
Hata mwanaume anaandaliwa mazingiraAtakua anamdanda tu kama baiskeli ya phonex! Hata baiskeli inatiwa grisi kabla ya kuendeshwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona kula huchoki?
Sent from my SM-G610F using Tapatalk
Unavumilia ili kumridhisha mwenzio ndio maana ya ndoa, ila kama ni wapenzi tu ruksa kuchoka
Sent using Jamii Forums mobile app