Ni kajinga furani hakajui matumizi ya keypadHuyo jamaa fala sana , anajifanya mtaalam wa kutukana
shimo la choo wewePakunyea wewe.
Kwa kipindi kirefu Clouds FM wamekua wakihaha kubrand wasanii wenye vipaji vikali ili kupata mtu ambae ataweza kutake over Diamond Platnumz. Mfano hawakina Marioo, na wengine wengi.
So, baada ya Harmo kutoka WCB basi nilijua hapa Clouds wanaenda kuchukua there best shot waliokuwa wakiihangaikia kwa miaka yote.
Sasa naombeni mkae mkao wa kushuhudia promo atakazokua anapigiwa Harmonise hamtoamini.
Yani wanaamini kabisa the guy is going to take over Diamond.View attachment 1237273
Keshapotea yeye na group lake lote na team zake zote na mofaya pia ishapoteya kabla ata haujainywaTasisi kushindana na mtu mmoja wana tabu sana dah,
Kiba wamepromote adi wakachoka wakaona kichwa cha mwendawazimu wamevunga saivi.
Maisha ya sanaa figisu siku zote, acha warumbane tu atakae kuwa mwamba huyo huyo, ata wakimpromote harmorapa poa tuu