Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wakati nikiwa mdogo nilikuwa nambiwa watu wenye nundu hivyo usiku huwa wanageuka wanyama wenye pembe moja.......sasa sijui kama inahuuu
duh!:A S 101:
:gossip:
..Duh! na haka kazee kanaonekana kalipokuwa katoto kalikuwa machachari sana....:whoo:![]()
Ni laana ya kuchungulia wazee alivyokuwa mtoto, sasa inaanza kuchomokea kwenye paji la uso wake
..Duh! na haka kazee kanaonekana kalipokuwa katoto kalikuwa machachari sana....:whoo:
Antena ya kuonea wabaya wa chama wakiwa mbali
Antena ya kuonea wabaya wa chama wakiwa mbali
Kama tochi ya watu wa migodiniAntena ya kuonea wabaya wa chama wakiwa mbali