Hili nundu alifanyaje?

wakati nikiwa mdogo nilikuwa nambiwa watu wenye nundu hivyo usiku huwa wanageuka wanyama wenye pembe moja.......sasa sijui kama inahuuu
 


Ni laana ya kuchungulia wazee alivyokuwa mtoto, sasa inaanza kuchomokea kwenye paji la uso wake
 


Ni laana ya kuchungulia wazee alivyokuwa mtoto, sasa inaanza kuchomokea kwenye paji la uso wake
..Duh! na haka kazee kanaonekana kalipokuwa katoto kalikuwa machachari sana....:whoo:
 
..Duh! na haka kazee kanaonekana kalipokuwa katoto kalikuwa machachari sana....:whoo:

nadhani kalikuwaga siku zote ka mwisho kupatikana kwene mchezo wa kujificha:fear:
 
wakati nikiwa mdogo nilikuwa nambiwa watu wenye nundu hivyo usiku huwa wanageuka wanyama wenye pembe moja.......sasa sijui kama inahuuu

huyu hata mchana hugeuka hivyo.
 
@Ndibalema

Nadhani kwa hili you have gone too far
 
Nilimsikia dokta mmoja akisema huo ni ubongo. Ndio maana yuko fyatu na hawezi kutoa hiyo nundu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…