Hili sakata la Binti aliyebakwa na wahuni lisitufanye tupuuze taabu ya maelfu ya watu huko Ngorongoro

Hili sakata la Binti aliyebakwa na wahuni lisitufanye tupuuze taabu ya maelfu ya watu huko Ngorongoro

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Jana ilizuka taarifa za Masai wa Ngorongoro kuandamana kudai haki zao za kibinadamu kama haki ya kupiga kura, kupata huduma za kijamii kama shule, hospitals n.k.

Ardhi ya Masai Ngorongoro ilichukuliwa na Serikali Kwa ajili uhifadhi lakini Kuna Mashaka sana juu wa watu hao.

Leo limezuka suala la Binti aliyebakwa Toka April na kauli ya RPC Malya kuteka hisia za watu na kumfifisha suala la Masai Ngorongoro

Hawa wahuni ni watu wadogo Kwa serikali
Yaani serikali ishindwe kuwapata wabakaji, walevi, wahuni kama hawa
Na kupata ushahidi wa kuwatia hatiani

Yaani RPC mzoefu kama Malya atoe kauli ya kitoto kama Ile😅enyi Watanganyika stuka

Yaani serikali imfiche askari tu, kama serikali inawawajibisha mawaziri itashindwa hii njama ya wahuni waliombaka Binti geto

Hawa wahuni lilikuwa suala la muda tu wangefikishwa mahakamani na mahakama ikiwatia hatua watahukumiwa kunyongwa

Hili la Binti limekwisha, lipo mahakamani na mahakama itatenda haki Kwa wote, tuangaze kuwasaidia Masai wa Ngorongoro, wao wanasema wanataka Mh Rais akutane nao, tumwombe mama yetu apange afike Ngorongoro
 
Spin Doctors at Work.

Kweli mkuu inabidi tutwange kote kote.

Wazee wa Tonge Nyama kesho asubuhi inabidi mtwange Kote kote NgoroNgoro na Binti aliyebakwa.
 
Kesho mtaambiwa Manara karudi Simba
Leo habari kuu ilitakiwa kuwa ha ngorongoro lkn kwasababu ya unyeti naona ngoma imehamishwa kwa binti wa yombo..
Kumbuka bado tuna ishu ya mkuu wa mkoa simiyu kesi ya ufiraji..
 
HIvi bado kuna wamasai Ngorongoro,, mimi nilijua walishahamishwa wote,, au kinachowakuta ni matunda ya ukaidi wao baada ya kugoma kuhamishwa,,?
 
HIvi bado kuna wamasai Ngorongoro,, mimi nilijua walishahamishwa wote,, au kinachowakuta ni matunda ya ukaidi wao baada ya kugoma kuhamishwa,,?
Kuhama ilikuwa hiari sio laZima.
 
Back
Top Bottom