that can be a good solution.
katiba mpya italeta mengi i.e. the rule of law and tight enforcements!!
kama huku US ukitembea na minor (under 18) na ukashikwa basi umekwisha watakulima na sex with a minor, manake utaingizwa katka national register yenye list of sex offendors, which means u are just fu.cked up and done. Huwezi kupata kazi, apartment, nyumba, etc.
Ndio maana wanaokataa katiba mpya wana mapungufu ya akili
ha ha ha, huko kwenu ni usiku saa hii kwani.
paka mweusi hii kitu imenishtua na kuniumiza sanaaa,cna la kusema kwa sasa.
katiba mpya italeta mengi i.e. the rule of law and tight enforcements!!
kama huku US ukitembea na minor (under 18) na ukashikwa basi umekwisha watakulima na sex with a minor, manake utaingizwa katka national register yenye list of sex offendors, which means u are just fu.cked up and done. Huwezi kupata kazi, apartment, nyumba, etc.
Ndio maana wanaokataa katiba mpya wana mapungufu ya akili
yaani huku ndio saa sita na dk 35 za usiku. yaani usiku wa manane.
mbona kila wakati huwa yanaombwa lakini maasi ndio yanazidi, tena wakati mwingine utakuta huko huko kwenye maombi ndio wtu wa geti hutumia hiyo chance kupanga kukutana na wenzi wao. Kwa kweli kinahitajika kitu zaidi ya maombi jamani. maoni yangu ni kila mtu abadilike na kuamini ya kuwa Mungu yupo na anatuona kwa kila tukifanyacho hata kama ni kwa siri, hivyo ni ngumu sana kuona ufalme wake kwa dhambi hizi tunazozitenda.maombi ya kitaifa.
mwanzoni hata mimi nilifikiria ni utani tu wanavyoongelea haya mambo,lakini baada ya kusikia habari hii nikaona kumbe hii ishu iko serious kiasi hiki?kwa kweli hata mimi nilikasirika sana.
aisee pole sana, sie ndo tumetoka lunch kwa kweli,
bado namuomba mungu atuongoze kuomba sawasawa ili atupe majibu ya matatizo haya jamani.
Halafu paka mweusi bwana, huwa anasema sana ukweli unaohuzunisha. Ona sasa hata kazi haindi,
nalia tu, natubu kwa ajili ya jamaa yake paka na wengine wanaofanya mambo kama haya.
mimi imenigusa vibaya mno,moyo wangu umepata kidonda cna hata hamu ya kula kabisa. Tuzidi kumwomba mungu tena sanaaa.
Aisee pole sana, sie ndo tumetoka lunch kwa kweli,
Bado namuomba Mungu atuongoze kuomba sawasawa ili atupe majibu ya matatizo haya jamani.
Halafu Paka Mweusi bwana, huwa anasema sana ukweli unaohuzunisha. Ona sasa hata kazi haiendi,
Nalia tu, natubu kwa ajili ya jamaa yake Paka na wengine wanaofanya mambo kama haya.