Hili suala la nguvu za kiume ni jambo serious kabisa, tuambie umewahi kutumia mmea au chakula gani kuondokana na tatizo hili

Nimeliwa hela na waganga mpaka mbekenyera nimefika lakini wapi.
Nilishakubali imekula kwangu. Sasa ni kuenjoy na hichonhicho kibamia muhimu threesome kinapiga 🀣🀣🀣🀣
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣 nimechekaaaa we ni falahhhh
 
Hebu ngoja kwanza, Hii inapatikana wapi πŸ˜‚
 
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣 nimechekaaaa we ni falahhhh
Huyu jamaa amepinda aise 🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…