Ms Billionaire
JF-Expert Member
- Jul 18, 2020
- 2,452
- 4,955
Wanatumishaga misuli humu eti wanakwambia mwanaume ndo alivyoumbwa hawezi kukaa na mwanamke mmoja ila kilema sasaaaa wanakitembeza balaa wanawacheka huko njeUmeongea kwa uchungu sana mkuu
π€£π€£
πππ AlooKuna watu watambeza mleta uzi kumbe na wenyewe wanahitaji msaada.
Jamaa gani tena, unamsema mzabzab kisiri siri eeeh πΉπΉπΉChukua point za kumsaidia jamaa yetu
Utacheka zaidi siku unakiona kibamia changu ndani ya sgr tukijiandaa kupiga threesomeπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ nimechekaaaa we ni falahhhh
Wanasisiemu hatufanyi kwenye mali za ummaUtacheka zaidi siku unakiona kibamia changu ndani ya sgr tukijiandaa kupiga threesome
Sasa ulishasema mali ya uma na sii tunalipia kwani tunafanya bureWanasisiemu hatufanyi kwenye mali za umma
HakikaKuna watu watambeza mleta uzi kumbe na wenyewe wanahitaji msaada.
Kivyovyote ila make sure unatumia hivyo kwenye vyakula vyako vya siku. Utashangaa game zako zinachangamka sana. Unaweza ukeshe mwanangu.Unayapiga tu kivyovyote au Kuna maandalizi mkuu
Wewe unawaamini..?hahaWale wa uzi wa kimasihara wao nguvu wanatoa wapi?? Mana kule wanasema wanaenda round 7 usiku mmoja. Hebu watafute wakupe tips
Naiona hio hatari inayofuata hapoMi huwa natumia mchanganyiko wa Asalimbichi, vitunguu swaumu na ndizi mbivu. Changanya vitunguu na ndizi na visage kwenye blender kisha weka na Asali mbichi. Kula huo mchanganyiko kabla ya kazi.
Mi najitwika hapa na ukiangalia mama manka amerudi leo toka alipokwenda salimia wazee kule machame. Sasa anaoga, mi nasubiri vijana wakalale vyumbani mwao.
We shauri yako, mficha uchi hazai wanasema.Lakini mi niko Fresh tu π€£π€£
Unaoa halafu UNAPIGIWA,itungwe sheria kali kua mtu akiolewa,asipigwe nje,labda ndo watu wote wataoa,lakini hii ya baada ya harusi,mtu anaendelea kukitembeza,lazima watu engine waste,ila kugonga watagonga.Vijana hawa wanaokataa ndoa hizo nguvu za kiume wanataka wakafanyie nini? Au ndio kupigana tindo