Hili suala la nguvu za kiume ni jambo serious kabisa, tuambie umewahi kutumia mmea au chakula gani kuondokana na tatizo hili

Kama Uki finish halafu ndonga ikaendelea kusimama ni tatizo, Nimekwisha.. Hapa nipate Maujuzi.
 
Kama Uki finish halafu ndonga ikaendelea kusimama ni tatizo, Nimekwisha.. Hapa nipate Maujuzi.
Hapana si tatizo, nimekosea, nilitaka niseme je baada ya kukojoa kigoli cha kuku, NDONGa inasimama, ili kama yupo hivyo nimtoe wasi kuwa yupo vizuri, kama kutibu hapo ni hilo tatizo la kukojoa mapema, ache NYETO na kutizama X
 
Hapana si tatizo, nimekosea, nilitaka niseme je baada ya kukojoa kigoli cha kuku, NDONGa inasimama, ili kama yupo hivyo nimtoe wasi kuwa yupo vizuri, kama kutibu hapo ni hilo tatizo la kukojoa mapema, ache NYETO na kutizama X
Anhaa 🙏👍
 
Picha sina kwa sasa ila nina maelezo tu

Kijiko cha chai cha mdalasini uliokatika hali ya unga plus vijiko viwili vya asali unachanganya na maji ya Moto unakunywa kila jioni

Mkuu hii inaleta msaada gani? na inachukua mda gani kuanza kuleta majibu
 
Mkuu hii inaleta msaada gani? na inachukua mda gani kuanza kuleta majibu
Mkuu inasaidia mambo mengi huo mchanganyiko, kama maambukizi kwenye kibofu cha mkojo, maumivu ya viungo, ugumba, kuongeza hamu ya tendo la ndoa, nguvu za kiume nk

Mkuu kwenye muda hapo nisikudanganye ila wewe jaribu tu hata mwezi uone kama kutakuwa na mabadiliko hata hivyo siyo sumu hata ukifanya kikawa kinywaji chako huku ukiangalia mabadiliko. Kuna kitabu niliona ndiyo imeandikwa jinsi inavyosaidia kinaitwa turejee edeni
 
Well said
 
Picha sina kwa sasa ila nina maelezo tu

Kijiko cha chai cha mdalasini uliokatika hali ya unga plus vijiko viwili vya asali unachanganya na maji ya Moto unakunywa kila jioni
Kuna kielelezo chochote kwa mafanikio? aliewahi kutumia ikamletea majibu atujuze wajameni
 
Hakika mkuu nimeupenda Sana huu ushauri wako.
Nyeto ndio adui mkubwa wa nguvu za kiume
 
Endelea kujidanganya.Nyeto Ni mbaya Sana Kama unafanya nakushauri uachane nayo kbsa.

Utakuwa ukikutana na mwanamke bao la kwanza hutazidisha dakika wazungu Hawa hapa
Mimi nimeoa kaka, Siwezi fanya mambo hayo Raymanu KE:
 
Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume halisababishwi na kitu kimoja tu mwilini, bali ni muunganiko wa vitu vingi.

Mbaya zaidi sababu za upungufu wa nguvu za kiume zinatofautiana kutoka mtu mmoja kwenda mtu mwingine.

Mfano; wengine wameathirika kiasikolojia, ni hofu tu ndio inawasumbua.

Wengine ni Upungufu wa hormones ya testosterone.

Wengine ni mfumo wa damu na mishipa ya damu kwenye uume inakuwa haina uwezo wa kuzuia damu kwa muda mrefu (to retain blood in the penile tissues for longer periods) ndani ya uume.

Wengine ni kiwango cha juu cha sukari na cholesterol.

Wengine ni magonjwa ya figo na Shinikizo la juu la damu.

Wengine wana matatizo ya tezi dume. Fahamu kwamba tezi dume zinaweza kupata shida zingine na sio Saratani pekee.

Wengine wamezaliwa na Magonjwa ambayo kwa namna moja ama nyingine yanaathiri uwezo wa nguvu za kiume. Mfano wengine wamezaliwa hawana uwezo wa kuzalisha hormone ya testosterone ya kutosha.

Wengine wamejiharibu wenyewe kwa kupiga punyeto na unywaji wa pombe. Katika hili la pombe, binadamu tometofautina sana, kuna wengine huathirika kwa haraka na wengine hawaathiriki. It's very tricky.

Kwa kifupi, visababishi vya Upungufu wa nguvu za kiume vipo vingi sana na it's a very complex issue.

Tiba fulani ya nguvu za kiume inaweza ikamfaa (Juma) (huo ni mfano tu), lakini isimfae Abdalah.

Na hii ndiyo sababu watu wengi wanaotumia dawa za kuponya upungufu wa nguvu za kiume hawaponi.

Hawaponi kwa sababu dawa nyingi sokoni zimetengenezwa kusisimua mwili kwa muda tu na sio kutibu shina la tatizo.

Mbaya zaidi shina la tatizo linatofaitiana kutoka mtu mmoja kwenda mwingine. Na dawa inakuwa ni aina hiyo hiyo moja. Huwezi kupona.

Mtu anayetaka kupona tatizo la upungufu wa nguvu za kiume ni lazima kwanza ajue chanzo au shina la tatizo lake ni nini.

Kwa wenye matatizo ya nguvu za kiume njjoni PM kwa maelezo zaidi na ushauri wa tiba.
 
Hakuna ugonjwa wa nguvu za kiume duniani ni watu tu wanacheza na akili zetu wapige hela.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…