Umenena Vema hakika.. Naku PM mda wowoteTatizo la upungufu wa nguvu za kiume halisababishwi na kitu kimoja tu mwilini, bali ni muunganiko wa vitu vingi.
Mbaya zaidi sababu za upungufu wa nguvu za kiume zinatofautiana kutoka mtu mmoja kwenda mtu mwingine.
Mfano; wengine wameathirika kiasikolojia, ni hofu tu ndio inawasumbua.
Wengine ni Upungufu wa hormones ya testosterone.
Wengine ni mfumo wa damu na mishipa ya damu kwenye uume inakuwa haina uwezo wa kuzuia damu kwa muda mrefu (to retain blood in the penile tissues for longer periods) ndani ya uume.
Wengine ni kiwango cha juu cha sukari na cholesterol.
Wengine ni magonjwa ya figo na Shinikizo la juu la damu.
Wengine wana matatizo ya tezi dume. Fahamu kwamba tezi dume zinaweza kupata shida zingine na sio Saratani pekee.
Wengine wamezaliwa na Magonjwa ambayo kwa namna moja ama nyingine yanaathiri uwezo wa nguvu za kiume. Mfano wengine wamezaliwa hawana uwezo wa kuzalisha hormone ya testosterone ya kutosha.
Wengine wamejiharibu wenyewe kwa kupiga punyeto na unywaji wa pombe. Katika hili la pombe, binadamu tometofautina sana, kuna wengine huathirika kwa haraka na wengine hawaathiriki. It's very tricky.
Kwa kifupi, visababishi vya Upungufu wa nguvu za kiume vipo vingi sana na it's a very complex issue.
Tiba fulani ya nguvu za kiume inaweza ikamfaa (Juma) (huo ni mfano tu), lakini isimfae Abdalah.
Na hii ndiyo sababu watu wengi wanaotumia dawa za kuponya upungufu wa nguvu za kiume hawaponi.
Hawaponi kwa sababu dawa nyingi sokoni zimetengenezwa kusisimua mwili kwa muda tu na sio kutibu shina la tatizo.
Mbaya zaidi shina la tatizo linatofaitiana kutoka mtu mmoja kwenda mwingine. Na dawa inakuwa ni aina hiyo hiyo moja. Huwezi kupona.
Mtu anayetaka kupona tatizo la upungufu wa nguvu za kiume ni lazima kwanza ajue chanzo au shina la tatizo lake ni nini.
Kwa wenye matatizo ya nguvu za kiume njjoni PM kwa maelezo zaidi na ushauri wa tiba.
Vp kuhusu mishipa iliyo sinyaaUpungufu wa nguvu za kiume ni tatizo la kimfumo mzima wa mwili.Usidanganyike hata siku moja kuwa kuna ugonjwa wa kukosa nguvu za kiume,isipokuwa unaweza kuwa na ugonjwa au tatizo la msingi litakalopelekea kukosa nguvu za kiume.Kwa hiyo bila kutibu tatizo la msingi linalokusababisha kukosa hizo nguvu utamaliza dawa zote bila mafanikio au utakuwa unatumia booster kwa siku moja na tatizo linaendelea kuwa palepale na kuwa kubwa zaidi.
Mfano unaweza kuwa na tatizo katika mzunguko wako wa damu,matatizo ya shinikizo la damu na moyo,magonjwa ya kisukari au vidonda vya tumbo n.k lazima tu nguvu za kiume zitapotea au kupungua automatically.Lakini pia kuna watu wana changamoto ya michango au chango la kiume na wakati mwingine ngiri bila kuelewa,hawa pia wako kwenye hatari ya kukosa nguvu za kiume na wakati mwingine uume kusinyaa kuelekea ndani na kuwa mdogo zaidi kuliko awali.Wengine pia wana mapungufu ya vichocheo mwilini au homoni,lakini pia baadhi misuli yao ya uume ilishaleghea kwa sababu walifanya sana punyeto kwa muda mrefu na matokeo yake wanayaona sasa.Ni lazima kujua chanzo na baada ya hapo ukitibiwa kikamilifu unapona kabisa na nguvu huwa zinalejea zenyewe automatically baada ya mfumo ulioathirika kukaa sawa.
Hakuna ugonjwa wa nguvu za kiume duniani ni watu tu wanacheza na akili zetu wapige hela.
Vp kuhusu mishipa iliyo sinyaa
Ishu ya nguvu za kiume inakuzwa tu ili wauza dawa wafanye biashara.Kumekuwa na vumi tofauti tofauti kuhusiana na vyakula na mimea inayoongeza Nguvu za kiume hasa karne hii ambapo tafiti zinaonyesha Vijana wengi Jogoo zao haziwiki π.
Leo tumalize utata, weka picha hapa ya mmea au chakula chochote kinachoongeza nguvu za kiume.
Ukiweza tuelezee na Matumizi.
Asa si useme tuh una tatizo la nguvu za kiume watu wakupe ushauri vizurKumekuwa na vumi tofauti tofauti kuhusiana na vyakula na mimea inayoongeza Nguvu za kiume hasa karne hii ambapo tafiti zinaonyesha Vijana wengi Jogoo zao haziwiki...
Equalizer oyaa weeeeHuyo jamaa ulie mueka DP ni katili balaa
Sema inategemea na Mwanamke uliyenae,kuna wanawake wengine wanajua sana kutia hamasa kwenye tendo,na unaweza kwenda nae hadi mizunguko 5, na wengine hamasa zao zina turn off kabisa, ukipiga kimoja tu, ndiyo hutaki hata kuendelea!!Ishu ya nguvu za kiume inakuzwa tu ili wauza dawa wafanye biashara.
Sio tatizo kubwa kiasi hicho.
Nguvu za kiume ni hela tu.Sema inategemea na Mwanamke uliyenae,kuna wanawake wengine wanajua sana kutia hamasa kwenye tendo,na unaweza kwenda nae hadi mizunguko 5, na wengine hamasa zao zina turn off kabisa, ukipiga kimoja tu, ndiyo hutaki hata kuendelea!!
Ndo mimi huyo ππππNoma ππ 9sec
Unakuta una hela huna nguvu tena , Demu wako anamegwa na Muuza mkaa.. Kupitia pesa yako ndo wana StayNguvu za kiume ni hela tu.
Ukiwa na hela unaweza kugonga hata wanawake 10 kwa siku.
Sasa wewe jifanye unadindisha dindisha halafu hela huna, tuone utamdinya nani!