Black Walker
Senior Member
- Oct 8, 2018
- 119
- 254
Nimeona tangazo la UTUMISHI kuhusu suala la uhamisho kwa wenza! Kiukweli inashangaza kuona tunaletewa drama na maisha yetu.
Wapo watumishi wengi ambao maombi yao yako UTUMISHI AU TAMISEMI yakisubiria approval ya makatibu wakuu kwa muda mrefu.
Je, hao nao waandike barua upya kwenda kwa waajiri wao kabla ya hiyo 05/10/2024 au waendelee kusubiria barua?
Wapo watumishi wengi ambao maombi yao yako UTUMISHI AU TAMISEMI yakisubiria approval ya makatibu wakuu kwa muda mrefu.
Je, hao nao waandike barua upya kwenda kwa waajiri wao kabla ya hiyo 05/10/2024 au waendelee kusubiria barua?