Huna ujualo,acha bange kijana utaolewaNi kweli.
Inawezekana.
Wanachofanya ni kuondoka na tv yako na kisimbuzi then wanakuacha hulipii hata mwaka mzima ukitaka.
Vya bure ni gharama
Huna ujualo,acha bange kijana utaolewa
Umeshasema ni tapeli, sasa wategemea atawaunga bure? Si atakula hela yako tu?Hivi wakuu,
Kuna mtu yupo Dodoma nimesikia anasema kuna tapeli anawapiga watu pesa anasema atawaunga vifurushi vya ving'amuzi kwa miezi sita watumie bure, kweli inawezekana hivyo?
Vifurushi ni vya kampuni ya kisimbuzi sasa huyu mtu anakuunganisha na kampuni yake isiyo na uhusiano na kisimbuzi chako! Haiingii akilini.Hivi wakuu,
Kuna mtu yupo Dodoma nimesikia anasema kuna tapeli anawapiga watu pesa anasema atawaunga vifurushi vya ving'amuzi kwa miezi sita watumie bure, kweli inawezekana hivyo?
Umesoma vizuri nilivyoandika we mtt wa kkaaba?Kwani mumeo anataka mke mwingine?
Lipia kisimbuzi. Acha kupenda wizi. Utageuzwa