Hili suala la vocha kupanda bei limekaaje kitaalamu?

Hili suala la vocha kupanda bei limekaaje kitaalamu?

Stone killer

Senior Member
Joined
Mar 21, 2023
Posts
101
Reaction score
192
Habari wanajamvi,

Nisiuchoshe mkono kuandika mengi ilihali mnajua Hali halisi, hivi juzi nmetoka makambako vocha zmepanda bei kutoka mia tano hadi mia 6 yaani kimahesabu vocha zimepanda bei kwa asilimia 20,
This is daylight robbery and no one care.

Nikahisi labda Umakambako unansumbua aka ukienyeji mwingi leo npo Dar City Center vocha zimepanda kwa asilimia kumi, kwa anayejua chochote jaman atupe ABCs juu ya nani yupo juu ya hili swala, au Tozo na Kodi zimepanda mazee? Ukute mimi sio Mtanzania na nchi yangu inanchukulia kama stowaway TU, kama mnapandisha hadi vocha bila kutuelekeza maana yake nyinyi ni Watanzania bora kuliko sisi.

Mnaiba rasilimali, tumekausha, mmetunyima ajira tumekausha, mmepandisha Kodi kwenye misalalizo yetu ya bajaji, boda na magenge tumekausha, now mmeambua hadi hela mmezipandisha bei, maana nikinunua vocha ni kama nimennua hela. Na log off.
 
Mwaka wa sita huu sijawahi kununua vocha za kukwangua
Kaka Kuna baadhi ya maeneo huduma za miamala shida sana, Kuna maeneo mitandaon imeshika, hivi ujue Kuna maeneo hupati halopesa,tigopesa au Airtel money...ni lazma ununue vocha mwaisa
 
Kilichopanda ni bei ya vocha ama kifurushi? Kama wamepandisha bei ya vocha waachwe ww tia Salio kwenye tigopeya, mpesa,halopesa nk Kisha nunuliamo humo
 
wasipotafuta fedha wakati huu wa uchumi huru,uchumi ambao unapenda wachumia kimvulini!, uchumi unaochumu!.. wakatafutie wapi...??
 
Kilichopanda ni bei ya vocha ama kifurushi? Kama wamepandisha bei ya vocha waachwe ww tia Salio kwenye tigopeya, mpesa,halopesa nk Kisha nunuliamo humo
Wamepandisha Bei vyote.........Kaka Kuna baadhi ya maeneo huduma za miamala shida sana, Kuna maeneo mitandaon imeshika, hivi ujue Kuna maeneo hupati halopesa,tigopesa au Airtel money...ni lazma ununue vocha mwaisa
 
Kaka Kuna baadhi ya maeneo huduma za miamala shida sana, Kuna maeneo mitandaon imeshika, hivi ujue Kuna maeneo hupati halopesa,tigopesa au Airtel money...ni lazma ununue vocha mwaisa
Jitahidi kwenye simu ubaki hata na buku 10 za vocha na ndivyo ninavyofanya mimi
 
Wamepandisha Bei vyote.........Kaka Kuna baadhi ya maeneo huduma za miamala shida sana, Kuna maeneo mitandaon imeshika, hivi ujue Kuna maeneo hupati halopesa,tigopesa au Airtel money...ni lazma ununue vocha mwaisa
Boy unaishi maporini sana hama huko.
 
Habari wanajamvi, nsiuchoshe mkono kuandika mengi ilihali mnajua Hali halisi, hivi juzi nmetoka makambako vocha zmepanda Bei kutoka mia tano hadi mia yaan kimahesabu vocha zimepanda Bei kwa asilimia 20,
This is daylight robbery and no one care,

Nikahisi labda umakambako unansumbua aka ukienyeji mwingi Leo npo DSM city center vocha zimepanda kwa asilimia kumi, kwa anaejua chochote jaman atupe ABCs juu ya nan yupo juu ya hili swala , au tozo na Kodi zimepanda mazee, ukute Mimi sio mtanzania na nchi yangu inanchukulia kama stowaway TU, kama mnapandisha hadi vocha bila kutuelekeza manake nyinyi ni watz Bora kuliko sisi,

Mnaiba rasilimali ,tumekausha, mmetunyima ajira tumekausha, mmepandisha Kodi kwenye misalalizo yetu ya bajaji ,boda na magenge tumekausha , now mmeambua hadi hela mmezipandisha Bei, maana nkinunua vocha ni kama nmennua hela , na log off
Tafuta hela acha kulalamika
 
Kaka Kuna baadhi ya maeneo huduma za miamala shida sana, Kuna maeneo mitandaon imeshika, hivi ujue Kuna maeneo hupati halopesa,tigopesa au Airtel money...ni lazma ununue vocha mwaisa
Kivyovyote vile hakikisha kwenye mobile wallet yako kuna hela..tusiishi kama tupo mwaka 1984..

Ukiweka 5000 mpesa mfano ukinunua vocha ya 500 hukatwi chochote balance inabaki 4500..na ni fasta tu hamna mambo ya kukwangua..

Upgrade your game.
 
Back
Top Bottom