Hili suala la wanawake kuvaa nguo fupi halafu wakianza kutembea/kukaa wanapata tabu, mnakera sana

Na wale wanaoacha nyonyo nje? Na ukipiga jicho anaanza kuhangaika kuziba kwa kiganja, mi uwa najua lengo lao ni tusafishe macho
Umesema ukweli mkuu, na hao wenye tabia za kuacha nyonyo wazi hasa katika ya kifua wanazingua sana.

Sijui wakizifunika huwa wanapungukiwa nini...
 
Ni lini wanawake mtabadilika..

Hii tabia inakera japo inatushushia stress..
 
Halafu utakuta wanamshanga nakumponda muweka kata K...

Utasikia sipendi mwanaume sharobaro asijue sharobaro na mvaa vimini Ni pipa na mfuniko
 
Mkuu ukianza kufuatilia akili za wanawake utachanganyikiwa.
WE waache tu.

Sometimes hata wao wenyewe huwa wanajishangaa wakoje.
yaan mm niko tofauti kama ni kimini bas ata upepo urushe skirt inifunike usoni ntairudisha tena taratibu bila kushtuka ni kama nafunga kamba za viatu..ila natembeaga na kanga mana zipu hazikawii kuachia.
 
Na sijapanda daladala muda nione uumbaji
Panda mkuu utaona mwenyewe.

Mfano leo nilipanda daladala niliona wanawake wawili wameachia mapaja wazi baada ya nguo walizovaa kuvutika nyuma pindi walipokaa. Cha ajabu walikuwa comfortable.

Mmoja alikuwa mmama mkubwa tu ila huyu angalau aliweka mzigo wake mapajani ukafunika kidogo.

Mwingine alikuwa wa rika la kawaida, kwa makadirio hakuzidi 28. Huyu ndio alikuwa hana habari kabisa na uwazi kwenye mapaja halafu yalikuwa ya kawaida(hayajanona), yeye alikiwa busy na kuchati tu.
 
Tabu wapate wao, kukereka ukereke wewe!
 
Mwanamke maua! Lazima yaonekane na kuchanuwa!
Ukishindwa hamia ZNZ!
 
Vitoto vya kurasini pale asubuhi asubuhi vimevaa chupi Na Wako Comfortable Kabisa

VITOTO vinabalaa sana na Laana Pia
 
Wanawake hawajawahi kumiliki akili toka misingi ya dunia iwekwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…