dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Ooh kumbe ndio hvyo ,Sasa ndio wapigwe za uso jmnHawajapanga matokeo. Wamekiuka taratibu za usajili
Ohh Asante Sana mkuuHajapanga matokeo. Hii sio ile ya cal iopoli. Kipindi hiki kunaugoro alifanya kwenye financial statements
ExactlyHii ni si mara ya pili tena anashushwa ama
Ooh Sasa nimeelewa kosaKaleta janja janja kwenye masuala ya pesa
Kumbe wazungu wa kikatoliki nao Ni waongo waongo Sana had kwenye pesaKaleta janja janja kwenye masuala ya pesa
Walikosea wapi na kwenye feza waliongeza zero au walipunguzaWalifanya udanganyifu kwenye masuala fedha, hasa kwenye usajili na mishahara ya wachezaji, ndio maana wamepigwa nyundo
Kumbe limeenda Hadi England faNaye mkurugenzi was ufundi was Tottenham amehusishwa kwenye sakata hilo la juve, na amepigwa nyundo
Kama mchezaji kanunuliwa kwa 100,wao wanasema 60Walikosea wapi na kwenye feza waliongeza zero au walipunguza
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Sawa sawa nimekusoma chalii wa RNi suala la FFP yani Financial Fair Play
Tueleze vzr hiloYaaah hii itamla hadi Paratici ambaye yupo spurs.
Wapuuz kumbeKama mchezaji kanunuliwa kwa 100,wao wanasema 60