Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,711
- 3,279
Habari wakuu,
Unapopanga kikosi kuna kitu kinaitwa team balance.
Tangu kocha Robatinho aje amekua akimtumia Chama kama winger kitu ambacho kinaiathiri sana team hadi kupelekea hata mechi ya juzi na Azam kufungwa goli la kipumbavu kisa waliambiwa wapige mipira mirefu kuelekea upande alioko chama na wakati inajulikana wazi Chama hana energy ya kugombania mpira na kukimbia.
Hiyo inapelekea muda mwingi lile eneo linabaki tupu labda Tshabalala ndo akipata nafasi anapatumia ila chama mda wote anapakimbia na kuja kurundikana humu kati alipo saidoo na bahati mbaya saidoo nae hajiongezi kwenda kucover kule.
Swali ni je kwanini kocha asiwe anampanga huko Saidoo ambaye angalau yeye anaweza kufanya operation zake akitokea huko tofauti na Chama ambae yeye ni mzuri akiwa humo shimoni hapo ni kama team ina watu9 maana kuna side tayari ina udhaifu haiwezi zalisha kama inavopaswa.
Pamoja na madhara yaliyojitokeza juzi nlishangaa kuona bado mipira mirefu ikawa inapigwa huko huko alipo chama ambapo ndo mpira ulichukuliwa ukazaa goli la mapema.
Sijawahi sikia wachambuzi wa bongo iwe humu au kwenye radio wakiliongelea hili zaidi ya kelele tu na kuishia kuongelea akina Bocco tu.
Naomba kuwasilisha.
Unapopanga kikosi kuna kitu kinaitwa team balance.
Tangu kocha Robatinho aje amekua akimtumia Chama kama winger kitu ambacho kinaiathiri sana team hadi kupelekea hata mechi ya juzi na Azam kufungwa goli la kipumbavu kisa waliambiwa wapige mipira mirefu kuelekea upande alioko chama na wakati inajulikana wazi Chama hana energy ya kugombania mpira na kukimbia.
Hiyo inapelekea muda mwingi lile eneo linabaki tupu labda Tshabalala ndo akipata nafasi anapatumia ila chama mda wote anapakimbia na kuja kurundikana humu kati alipo saidoo na bahati mbaya saidoo nae hajiongezi kwenda kucover kule.
Swali ni je kwanini kocha asiwe anampanga huko Saidoo ambaye angalau yeye anaweza kufanya operation zake akitokea huko tofauti na Chama ambae yeye ni mzuri akiwa humo shimoni hapo ni kama team ina watu9 maana kuna side tayari ina udhaifu haiwezi zalisha kama inavopaswa.
Pamoja na madhara yaliyojitokeza juzi nlishangaa kuona bado mipira mirefu ikawa inapigwa huko huko alipo chama ambapo ndo mpira ulichukuliwa ukazaa goli la mapema.
Sijawahi sikia wachambuzi wa bongo iwe humu au kwenye radio wakiliongelea hili zaidi ya kelele tu na kuishia kuongelea akina Bocco tu.
Naomba kuwasilisha.