Acha kutawaliwa na imani za kishirikina. Hiyo ni illusion ya mwanga uliokumbana na vitu vingine angani kama unyevu, mawimbi au miali mingine. Inaelezeka kisayansi.Kwa siku mbili zilizopita Mwezi umeonekana ukiwa umegubikwa na msalaba kwa ambao huenda mmeangalia.........tena msalaba ukiwa umekoza zaidi
nimegoogle nikaona tu mjadala wa suala kama hili ingawa sijapata kuona aliyechangia mantiki yake ila dodosa yangu kwa baadhi ya watu wanasema hali hii inapotokea ni ishara ya maradhi kugubika jamii pia
mwenye uelewa zaidi na hili wadau
picha ya hapa ni picha aliyopiga mdau wakati wa mjadala huo wa 2014
View attachment 369176
Sisi dini yetu haitafuta makandokando kuihalalisha. Dini yetu inajitetea yenyewe.Kwa siku mbili zilizopita Mwezi umeonekana ukiwa umegubikwa na msalaba kwa ambao huenda mmeangalia.........tena msalaba ukiwa umekoza zaidi
nimegoogle nikaona tu mjadala wa suala kama hili ingawa sijapata kuona aliyechangia mantiki yake ila dodosa yangu kwa baadhi ya watu wanasema hali hii inapotokea ni ishara ya maradhi kugubika jamii pia
mwenye uelewa zaidi na hili wadau
picha ya hapa ni picha aliyopiga mdau wakati wa mjadala huo wa 2014
View attachment 369176