Hili tukio lilinipita; kipi kilikuwa kinaendelea hapa?

Hili tukio lilinipita; kipi kilikuwa kinaendelea hapa?

What was happening here??


  • Total voters
    6
  • Poll closed .

Mufti kuku The Infinity

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2019
Posts
6,053
Reaction score
10,032
Kipi kilikuwa kinafanyika hapa?

Screenshot_20220328-091239.png
 
Sijawahi ona hii ila baada ya kusearch online nikakuta hii picha iko sehemu mbili tu.

FB na Twitter.

FB kuna username yenye jina 'Vuguvugu la Katiba' inatumia hii picha kama profile picture.

Na twitter hii picha imekua retweeted na user anaitwa John original tweet ikitoka kwenye page ya Change Tanzania mwaka 2018.

Tweet hii inahoji ikiwa ni sahihi kupima urefu wa samaki wakiwa wamechemshwa na kama hiyo haitasababisha samaki kupungua urefu.

So jibu ni hapo ulikua unafanyika upimaji wa samaki.
 
Huo ulikuwa upimaji wa ukubwa wa samaki kwenye Kantini ya Bunge kule Dodoma kwenye uongozi wa Hayati Magufuli.

Na ikatolewa ripoti Bungeni juu ya ukubwa wa samaki hao waliopimwa kwa rula wakiwa wameshakaangwa.

Mambo yalikuwa moto sana
 
Sijawahi ona hii ila baada ya kusearch online nikakuta hii picha iko sehemu mbili tu.

FB na Twitter.

FB kuna username yenye jina 'Vuguvugu la Katiba' inatumia hii picha kama profile picture.

Na twitter hii picha imekua retweeted na user anaitwa John original tweet ikitoka kwenye page ya Change Tanzania mwaka 2018.

Tweet hii inahoji ikiwa ni sahihi kupima urefu wa samaki wakiwa wamechemshwa na kama hiyo haitasababisha samaki kupungua urefu.

So jibu ni hapo ulikua unafanyika upimaji wa samaki.

Nimekuwa interested tu kujua umesearch hizo 'picha' kwa kutumia keyword gani!
 
Back
Top Bottom