Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
He is psycho...
Bibi yangu yu hai mpaka leo na ana miaka karibia 100 hata kushuka kitandani ni kazi anaona kama anatumbukia kwenye shimo. sasa na-imagine mtu kama huyo amtokee bibi yangu ambake kwa masaa 8??? Vitu vingine ni laana na dhambi zisizosameheka kwa kweli mbele ya Mungu na mwanadamu.
Sasa bi kizee na mambo ya lubrication sijui ilikuwaje tu.
He is psycho...
Bibi yangu yu hai mpaka leo na ana miaka karibia 100 hata kushuka kitandani ni kazi anaona kama anatumbukia kwenye shimo. sasa na-imagine mtu kama huyo amtokee bibi yangu ambake kwa masaa 8??? Vitu vingine ni laana na dhambi zisizosameheka kwa kweli mbele ya Mungu na mwanadamu.
SC wewe umeenda mbali zaidi...duh
Ni tukio gumu JS,
Mtu unapoangalia title ya habari kwenye gazeti, unaweza kudhani ni maigizo...
Inauma sana ukivuta picha na kulitazama tukio hilo kwa jicho la kibinadamu!
Sasa bi kizee na mambo ya lubrication sijui ilikuwaje tu.
...aisee, sitaki hata ku imagine bana....mungu apishilie mbali, puuuuuuuuuuu!
Sasa wewe huko umefikaje tena???
Poa tu mzee,
Mie niatamani ningekuwa na muda niende Nzega kumpa pole bibi wa watu! Ngoja nianze kutafuta nauli!
Aisee kuna watu makatili dunianiani!
Mie natamani ningepata walau dakika moja tu na huyo mbakaji ili nimshikishe adabu.
Mwajuma ukibakwa njoo uniambie. Sawa?
nikibakana je?
Pia polisi wamekataa kumchukulia hatua mbakaji na pia uongozi wa kijiji nao hauna mpango wa kumsaidia huyu bibi ingawa mhusika yuko pale pale kijijini anatanua!!