Hili tusi linadhalalisha watu wa Sengerema, mamlaka iingilie kati

Hili tusi linadhalalisha watu wa Sengerema, mamlaka iingilie kati

Ketoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2015
Posts
1,117
Reaction score
1,966
Sasa hivi imekuwa kama aibu ukimwambia mtu au ukijitambulisha kuwa Mimi natokea Sengerema au naishi Sengerema kutokana na matumizi ya lugha wanayoitumia vijana wa siku hizi

Ni tukio lililotekea sehemu siku za hivi karibuni ambapo mzee wa makamo alikuwa anawaulizia vijana mambo kadha wa kadha,Kijana mmoja akamuuliza" Mzee umetokea wapi" Mzee kuwambia natokea Sengerema...vijana wakaanza kucheka na kumwambia kumbe wewe ni Msengerema mzee


Utasikia vijana wanaambizana hadharani kuwa "wewe acha usengerema"

"Kumbe wewe ni msengerema aisee" utadhani anamaanisha wewe unaotokea Sengerema kumbe la hasha ni tusi limetolewa hivyo

Siku hizi vijana hutukanana kwa tusi la USENGEREMA,hili ni neno limetokana au limenyambuliwa kutoka lugha isiyo rasimi pia ya neno "USENGE" ambalo kwa mujibu wa maana isiyo rasmi ni "WATU WANAOFANYA MAPENZI YA JINSIA MOJA HASA WANAUME"

Hili neno USENGEREMA linawadhalalisha watu waishio wilaya ya Sengerema,tunaomba mamlaka inayohusika ipige marufuku matumizi ya neno hili kutumiwa na vijana popote walipo maana linawapa wakati mgumu wananchi wa Sengerema

Vijana acheni kutumia wilaya ya Sengerema kama tusi kwenye maongezi yenu,inakera watu waishio wilayani Sengerema
 
Wasengerema bwana [emoji23] [emoji23]
FB_IMG_15359940724894977.jpg
 
Mkuu fuatilia kwa kina inawezekana waasisi wslimaanisha hivyo au waliishi waarabu wengi miaka hiyo sasa wazee wakaamua kupaita ivyo ili kuelezea uovu ulotendwa na waarabu. Kila jina lina maana yake.
 
Inamaana watu tuache kuupenda na kuutumia mtandao wa Tigo sababu tu neno hilo linatumika vibaya? Lugha ya kiswahili ukitaka neno lolote liwe tusi litakua tusi. Kwa mfano hata phrase "mzima wewe?" ukitaka iwe tusi linakua tusi, ni mindset yako tu

After all kama utamtukana mtu na hajui kama hilo ni tusi ni sawa umejitusi mwenyewe tu
 
Inamaana watu tuache kuupenda na kuutumia mtandao wa Tigo sababu tu neno hilo linatumika vibaya? Lugha ya kiswahili ukitaka neno lolote liwe tusi litakua tusi. Kwa mfano hata phrase "mzima wewe?" ukitaka iwe tusi linakua tusi, ni mindset yako tu

After all kama utamtukana mtu na hajui kama hilo ni tusi ni sawa umejitusi mwenyewe tu
Naunga mkono hoja....
 
Acha hizo,mbona tunaotumia mtandao wa mawasiliano wa tigo tumekubaliana na hali.
 
Wewe MsengeREMA,
Kama vipi hamia huku uitwe 'Mwanaume wa Dar'.

Usipaparike hizo kejeli za msimu tu.
 
hahaa tusi lililo binjuka au kupiga salakasi. kuna mchaga anaitwa mbolo huwa sitamki maana itakuwa kama namsifia
 
Back
Top Bottom