Hillary Clinton alilipa majasusi kudukua mifumo ya Ikulu kupika skendo ya Trump kusaidiwa na Urusi uchaguzi wa 2016 (Russian Hoax)

Hillary Clinton alilipa majasusi kudukua mifumo ya Ikulu kupika skendo ya Trump kusaidiwa na Urusi uchaguzi wa 2016 (Russian Hoax)

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264


Kwa ufupi hiki kilichofanyika ni uhaini kwenye katiba ya marekani na adhabu pekee ni kifo.

Mama Clinton alilipa majasusi waweze kuingilia mifumo ya mawasiliano kipindi cha kampeni kuingilia hoteli ya trump na baada ya kampeni kuingilia mifumo ya white house lengo likiwa ni moja kwa moja kufanya ujasusi na ku hack mifumo ya ict ili kutengeneza connection ya kumbambikia jumba bovu Trump aonekane alikuwa na mahusiano ya moja kwa moja na russia katika skendo iliyopikwa ya russian hoax.

Ajabu ni kwamba ni zaidi ya siku 2 sasa, news network kama CNN, MSNBC, CBS, ABC.. na magazeti kama Newyork times na Washington post yapo kimya licha ya kwamba kile kipindi walikuwa mstari wa mbele kwenye tuhuma za Russia. hoax, kwa sasa mambo yanazidi kuwa clear kwaninini wapo kimya? Integrity ya hizi media ipo wapi?

kkk.jpg
 
Cnn ni democrats hawawezi kuongelea hiyo issue.

Na usitegemee hilary atafanywa chochote, kwa sababu wanaogopa kuwapa republicans shavu hasa ukizingatia ule uchaguzi wa mwaka huu (midterms)
 
Cnn ni democrats hawawezi kuongelea hiyo issue.

Na usitegemee hilary atafanywa chochote, kwa sababu wanaogopa kuwapa republicans shavu hasa ukizingatia ule uchaguzi wa mwaka huu (midterms)
Wanafanya kazi kwa kuogopa au kwa maslahi ya taifa? Je trump mwenyewe anamaoni gani juu ya jambo hilo
 
Trump aliandamwa na Deep states Hawakumtaka kabisa kwasababu Tu alikua Hatii maagizo yao. Kuna mambo ya ajabu hii Dunia.
Leo hii wanaotudanganya kila siku kwamba Russia Ataipiga Ukraine muda wowote hawasemi kwamba ni wao wanaowadanganya Wa Ukraine waungane nao kwenye muungano wao haramu wa Nato ili waisogelee Russia Dirishani waipige watawale Dunia.
 
Trump aliandamwa na Deep states Hawakumtaka kabisa kwasababu Tu alikua Hatii maagizo yao....Kuna mambo ya ajabu hii Dunia...
leo hii wanaotudanganya kila siku kwamba Russia Ataipiga Ukraine muda wowote hawasemi kwamba ni wao wanaowadanganya Wa Ukraine waungane nao kwenye muungano wao haramu wa Nato ili waisogelee Russia Dirishani waipige watawale Dunia....
Mungu atawapiga; ameahidi kuwapiga wote wanaotenda kinyume na mapenzi yake
 
Cnn ni democrats hawawezi kuongelea hiyo issue.
Hongera kwa kulitambua hilo, watanzania wachache sana tunajua haya mambo, wengi hufata habari za cnn zinazokuwaga na double standards zilizovuka mipaka, hata maandamano ya black lives matter ni batili kwa tunaojua undani wake.

Na usitegemee hilary atafanywa chochote, kwa sababu wanaogopa kuwapa republicans shavu hasa ukizingatia ule uchaguzi wa mwaka huu (midterms)
Patamu hapo 😎 yani mambo yamechanganya si kitoto, mnazi unaweza kupandwa kwa siri jalala la siri lakini ni swala la muda tu utaonekana hata kwa mbali, Hiki kitu ni kizito kuzidi water gate na kimeonesha wazi kabisa double standards za media.
 
Wanafanya kazi kwa kuogopa au kwa maslahi ya taifa? Je trump mwenyewe anamaoni gani juu ya jambo hilo
Hizomedia za mchongo trump alipokuwa akiziiita fake news media hali ndio kama hii ilivyo kwa sasa, wamepiga kimya kuzungumzia huu uhaini mkubwa. vyombo vya habari kama cnn havina tena integrity kabisa, wapo kisiasa zaidi kuliko kuwa katika maslahi ya taifa.

kuhusu trump katoa hii statement


kkk.jpg
 
Hizomedia za mchongo trump alipokuwa akiziiita fake news media hali ndio kama hii ilivyo kwa sasa, wamepiga kimya kuzungumzia huu uhaini mkubwa. vyombo vya habari kama cnn havina tena integrity kabisa, wapo kisiasa zaidi kuliko kuwa katika maslahi ya taifa.

kuhusu trump katoa hii statement


View attachment 2119993
Mamlaka zinasemaje
 
hii habari hata liberal wa JF kina Mag3, Nguruvi3 na wenzao sijawaona wakitia neno.....
actually tokea yule mgonjwa apewe uraisi sijawahi kuona wakimkosoa kama walivyoshadadia kumhusu trump kwa miaka 4.....

liberal ni watu ambao hawafai hata kidogo
 
Hongera kwa kulitambua hilo, watanzania wachache sana tunajua haya mambo, wengi hufata habari za cnn zinazokuwaga na double standards zilizovuka mipaka, hata maandamano ya black lives matter ni batili kwa tunaojua undani wake.


Patamu hapo 😎 yani mambo yamechanganya si kitoto, mnazi unaweza kupandwa kwa siri jalala la siri lakini ni swala la muda tu utaonekana hata kwa mbali, Hiki kitu ni kizito kuzidi water gate na kimeonesha wazi kabisa double standards za media.
CNN siyo Democrats,Ila hufuata deep state watakacho,mbona walikua fresh tu na bush
 
Back
Top Bottom