Mpui Lyazumbi
JF-Expert Member
- Sep 1, 2010
- 1,901
- 410
Ni Rai yangu. Maana utamaduni umekuwa hivyo kwa muda mrefu na taratibu taratibu inatakiwa kuuelewa na nadhani ni vema tukazoea.
Heka heka zipo na zitakuwepo lakini hiyo ndiyo hali halisi.
So, kwa ujumla tukiwa wazima wa afya, basi tukutane 2030.
Heka heka zipo na zitakuwepo lakini hiyo ndiyo hali halisi.
So, kwa ujumla tukiwa wazima wa afya, basi tukutane 2030.