Hima-Tutsi empire and the Western corporate: Marriage made in hell

We bwe.ge sana. Akili zako zimeshavurugwa. Huuwezi huu mjadala. Sasa mimi ndio mwandishi wa Rai mpuuzi wewe? Kabishane kwenye nyuzi za MS hizi sio saizi yako. Sirudii tena kujibu maupuuzi yako. Huna akili
Hahahahaha mbona unapanic sasa hamna anayebishana hapa yaani unataka utuletee fikra zako tukihoji unatukana hii forum huru sasa kama wewe siyo muandishi kwa nini umeleta hiyo habari humu jenga hoja za kuitetea hiyo habari uliyoleta, mimi siyo Bavicha kumeza kila upuuzi.
 
We bwe.ge sana. Akili zako zimeshavurugwa. Huuwezi huu mjadala. Sasa mimi ndio mwandishi wa Rai mpuuzi wewe? Kabishane kwenye nyuzi za MS hizi sio saizi yako. Sirudii tena kujibu maupuuzi yako. Huna akili
Ritz hii hoja ya Mzito Kabwela ni hoja isiyo ya kupuuzwa. Hao wa Hima wapo na malengo yao ni hayo. Analysis iliyoletwa imeletwa na facts. Usikurupuke kujibujibu kama upo kwenye mihadhara ya kina Mazinge. Poteza muda kidogo ku-google hiyo Hima empire. Mchg. Mtikila aliwahi kusema hii kitu. Alikufa akiwa njiani kutaka kueleza in detail kuhusu hawa Hima. Usipuuze wala Usikejeli
 
We kweli zuzu mchungaji Mtikila alikufa kwa ajali ya gari akiwa njiani na makabrasha yake akielekea mahakamani kupinga lowassa asigombee urais ww unakuja kuongea pumba tupu
 
Tz watavaa chupi kichwani.....
 
We kweli zuzu mchungaji Mtikila alikufa kwa ajali ya gari akiwa njiani na makabrasha yake akielekea mahakamani kupinga lowassa asigombee urais ww unakuja kuongea pumba tupu
Kwani hujuwi mtandao wa huyo mzee na rwanda
 
Watu wanaodharau kilichomo kwenye Uzi huu nina Mashaka na uelewa wao kuhusu watutsi. Huu Uzi sio wa kuubeza ,watutsi walijipanga wamejipanga na wanaendelea kujipanga kuitawala Africa.

Mimi binafsi nimetokea mkoa ambao watutsi walipewa makazi kuanzia miaka ya 1960's baada ya machafuko kwenye nchi zao.Nina watu wengi wa karibu kutoka kabila LA watutsi ambao ni kizazi cha tatu kutoka kwa mababu zao walioingia Tz miaka ya 1960s .Hawa watu hadi Leo hii ukizungumza nao royalty (uaminifu) yao ipo kwa Serikali ya Kigali na si ya Dar es salaam.Sasa tujiulize swali dogo tu hawa watutsi waliozaliwa Tz ,kusomeshwa Tz na kufanya kazi katika serikali ya Tz kwa kujiita waha kwanini hadi kizazi cha tatu bado uaminifu wao upo kwa serikali ya Rwanda na si Tanzania?

Kana kwamba hiyo haitoshi nina mifano ya zaidi ya watutsi 5 ambao wamesomeshwa kwa bodi ya mikopo ya Tz na Leo hii wamerudi Rwanda walikotokea babu zao na wameajiriwa na Serikali ya Rwanda.

Hawa watu wapo kwenye mission na tukikaa vibaya mission yao itakamilika kwa kuwa tumelele usingizi tumewaruhusu kuingia Serikalini,kwenye majeshi na sehemu nyingine nyeti.

Haya mambo hayatokei kwa bahati mbaya wakuu.

Samahani watutsi mliopo humu maana mmepanik kweli kweli.ukweli lazima usemwe
 
Hahahaha eti kutawala Africa. Na nukuu "There is no single African nation will rise as super power and dominate the poor continent be it Nigeria, Ethiopia, South Africa, or Egypt because we whites need every bit of Africa". Si maneno yangu hayo. Acheni chuki zenu wahutu.
 
m
Tushatawaliwa tayari....mukulu maujuxi ya uchwara anachukua kwa kagame...subirini tunalets airbus 2.
aliyeoa mtutsi ni mzee wetu machache.....pale kauvaba.
Mkewe si Mtusi hiyo ni uzushi!
 
Uchizi huo ataufanya huko nchini kwake Rwanda na labda Uganda kwa kuwaonea wahutu au kijijini kwake kwa wafugaji wenzake wa kitutsi. Ana bahati JK angemtoa madarakani. Kaleta ujinga Kongo ameona jins tulivyomvurumushwa Kongo MK 23 wake.TZ hatupendagi ujinga
 
Watutsi sio wayahudi sema wanajibatiza uyahudi ili wapewe misaada baada ya kuona wanawasiwasi wa kuja kusalitiwa na wabantu maana wana watawala ndugu zao hivyo wanatafuta mshirika nje ya afrika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nchi ya kufikirika mbona mnawapaisha sana hawa jamaa unataka kutuambia wabantu hawana akili sio hiyo empire nimesikia siku nyingi sana alafu watusi ni watu wachache sana
Nimeishi na watutsi hawa watu wana nawazo tafauti na waafrika wengine,huwezi kuwajua mpaka ukae nao,naweza kuwafananisha watutsi na wasomali tafauti yao wasomali wako kidini zaidi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…