Hima-Tutsi empire and the Western corporate: Marriage made in hell

Sasa umeanza pata signal eeh?!.
nchi ya kufikirika mbona mnawapaisha sana hawa jamaa unataka kutuambia wabantu hawana akili sio hiyo empire nimesikia siku nyingi sana alafu watusi ni watu wachache sana
 
Hizi porojo za ex FAR and genocidaires tumeshazizoea. Hakuna mashiko katika andiko hili. It is factually incorrect, morally reprehensible and socially preposterous. Tutsi ni wangapi na wana nguvu gani mpaka kuchukua sub saharan africa yote? Kwanza unajua jamaa zako wa FAR na interahamwe waliua watu wengi sana? Hakuna ukweli katika bandiko hili. Ni propaganda za akina hassan ngeze na wahalifu wengine wa genocide. Hatutaki chuki.
 
Hata ukiandika kikwenu huubadilishi ukweli wa mawenge ya watutsi na kagame.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa ni wabaya wa kagàme wanatfta support kutoka inchi zingine
 
Unawafananisha Watusi na Israel daaa! Kweli nakubaliana na ule utafiti.
sio anawafananisha wao ndio huwa wanajifananisha hujawai sikia kagame anaongea hiyo kauli??

sema muda wote uko na hamasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…