Himid Mao Mkami: Mchezaji asiyeimbwa Tanzania

Nyie ndiyo mnaowaponza wachezaji wetu, unataka atukuzwe halafu? Kwa nini usimtafutie timu UK? Kama unaamini anajua?
 
Namkubali sana Himid Mao amekamilika kama kiungo bora wa kisasa!
Mleta mada ajue hilo ndio maana hili neno likawepo (unsung heroes )wapo katika kada mbalimbali wengine heshima wanayopewa inakuwa ndogo tofauti na uwezo wao wengine ndio hivyo akishika shaba inageuka dhahabu. Paul Scholes na iniesta na gilberto silva nI zao la hawa mashujaa na si katika michezo tu hata katika kada nyingine mbalimbali.
 
Naunga mkono hoja mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…