Pablo Blanco
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 7,328
- 6,638
Nas Ni conscious kuliko Eminem,ingawa Eminem naye sio kwamba ana mashairi mepesiHakuna kipya utakachonielekeza kuhusu Em wala Nas..!
Sijawahi kukutana na list inayomuweka Nas juu ya Em, mimi pia sijawahi kufikiria kufanya hicho kitu..!
Album za Nas ninazo kama zote, hizo za Em ninazo zote, so hauwezi kunidanganya chochote kuhusu hao watu..!
Kwangu mimi Eminem ndio rapa bora wa muda wote, sikulazimishi kukubali mawazo yangu..!
Nimetumia masikio yangu na ubongo wangu katika hili...
Nas mkali kuliko Em, naaaah...
Let's agree to disagree chief..!!!
Sawa..!Nas Ni conscious kuliko Eminem,ingawa Eminem naye sio kwamba ana mashairi mepesi
hapana anakosea Eminem alitokea kupitia rap katuni na serious hiphop ila kinachowapiku wengine ni huwa hapotezi radha za hiphop hata akifanya rap yeyote mfano kuna ngoma jay z ksfuata radha za trap mwisho wa siku kashindwa kumaintainJamaa anakwambia Eminem ni overrated..!
Aight StanHakuna kipya utakachonielekeza kuhusu Em wala Nas..!
Sijawahi kukutana na list inayomuweka Nas juu ya Em, mimi pia sijawahi kufikiria kufanya hicho kitu..!
Album za Nas ninazo kama zote, hizo za Em ninazo zote, so hauwezi kunidanganya chochote kuhusu hao watu..!
Kwangu mimi Eminem ndio rapa bora wa muda wote, sikulazimishi kukubali mawazo yangu..!
Nimetumia masikio yangu na ubongo wangu katika hili...
Nas mkali kuliko Em, naaaah...
Let's agree to disagree chief..!!!
Call me whatever you wish man...Aight Stan
I know you got all his underground and mainstream shit
Your room full of his posters and pictures
Which makes you his biggest fan
So who is I to disagree with yo muthaphuckin opinion.
Sawa StanCall me whatever you wish man...
It won't change a shit..!
To me Em is the best rapper of all time, he's the rap God..!
Nas is nowhere near Em's level..!
You can cry if you wish..!!!
Nas is better than Eminem for real.Voca anazoshusha na message zake najihisi raha saSimple mzee Nas is a better lyricist.
Lyrically Nas destroys Em any day.
Sincerely if Em was black he would just be an average rapper .
Hana content ukiondoa stan, flow wise Nas yupo on top, Delivery wise Nas beats Em too.
Overral Nas has better albums
●Illmatic (classic of classics)
●It Was Written
●The Lost Tapes
●Stillmatic
●God’s Son
●I Am…
●Hip Hop Is Dead
●Life Is Good
●Street’s Disciple
●Untitled
●Nastradamus
Hu-forward nyimbo ukizikiliza hizi album.
Mh Jay Z?!Acha wewe huyu mtu anajua ana evolve na game yake,na anafanya anavyotaka naanaenda sawa.Em aliwahi kukiri huyu ni one of his fav rapper.Jay Z kwa sasa anakusanya hela,hajali charts za billboard anazingatia mauzo ambayo anatengeneza pesa kwa ajili yake zaidi kuliko zamani pesa nyingi ikienda def jam ,live nation na label nyingine major.Kuhusu kumaintain na Ku evolve huyu ndie mfalme waohapana anakosea Eminem alitokea kupitia rap katuni na serious hiphop ila kinachowapiku wengine ni huwa hapotezi radha za hiphop hata akifanya rap yeyote mfano kuna ngoma jay z ksfuata radha za trap mwisho wa siku kashindwa kumaintain
Fuk that shitNas is better than Eminem for real.Voca anazoshusha na message zake najihisi raha sa
Im listening......road to zion....[emoji444][emoji444][emoji444][emoji444][emoji444]
hiyo mitoto ya juu hapo ndiyo inayoharibu hiphop na rap kwa ujumla
jay z,,,,,,hapana........Mh
Mh Jay Z?!Acha wewe huyu mtu anajua ana evolve na game yake,na anafanya anavyotaka naanaenda sawa.Em aliwahi kukiri huyu ni one of his fav rapper.Jay Z kwa sasa anakusanya hela,hajali charts za billboard anazingatia mauzo ambayo anatengeneza pesa kwa ajili yake zaidi kuliko zamani pesa nyingi ikienda def jam ,live nation na label nyingine major.Kuhusu kumaintain na Ku evolve huyu ndie mfalme wao
Mkuu Jigga hapana kwa nini?Msikilize katika nyimbo za ndani ya album,achana na za promotion.Sikiliza ngoma kama threat na usome mashairi, sikiliza ngoma kama imaginary playa, 20 bag shorty, D'evil, December 14,Success yuko na Nas,Black republican yuko na Nas,Dead president,What More Can I Say.jay z,,,,,,hapana........
Huyu dogo hafaiDisasta vina ni kina joh sabini,...sio wakazi kadhaa wa kitongoji mkija njoo makini....