nipeni link huo wimbo wa mwana dar es salaam mbona siupatiNajuwa lengo la thread ni kupromote jina la Diamond ili ujio wa mwana Daresalame usimfunike jumla, labda tuanze kwa wewe kutueleza Diamond anapiga category ipi ya muziki?
Kwa faida yenu wasanii wa hip hop bongo ni na sehemu nyingine Afrika kuna utafiti niliofanya unaonyesha hakuna msanii yoyote wa hip hop ambaye si wa America.
Amewahi ku heat na kua star dunia kama hatoki Amerika achana na hip hop fanya uanze kuimba tu na kama unafanya kwa ajili ya Tanzania pekee yake sawa lakini kuwa star kwa hip hop nje ya nchi yako sahau kabisa.
My take Fid Q, Weusi, Darasa, Roma, na wengine wote mnaofanya hip hop msitegemee kufika level za bwana Almasi a.k.a Diamond kwa hizo hip hop zenu.
Kama una ushahidi wa msanii gani ambaye anafanya hip hop katoka Afrika na kawa star nje ya Africa nitajie hapa.
Nawasilisha comment za matusi zinakaribishwa pia.
Mkuu utafiti wako ni batili karudie tena.
i) Kwenye wekundu una maana gani? Ina maana ukifanya hip hop na wewe si Mmarekani inakuwa sio hip hop?
ii) Kwenye bluu ni upotoshaji mkubwa, ungekuwa umefanya utafiti wako kwa umakini ungejua kuwa Drake na
Kardinal Offishall wanatoka Canada, Iggy Azalea anatoka Australia, Slick Rick, Miss Dynamite na Monie Love
wanatoka UK, Knaan anatoka Somalia ( via Canada), Supreme NTM ni Wafaransa.
iii) Kwenye Kijani ukiacha Knaan wengine ni kama Ice Prince na Str8Buttah ( Nigeria), Sarkodie (Ghana) na Pro Kid na Trusenz (South Africa).
Nafkiri id yako inajieleza.huifaham hip hop
nipeni link huo wimbo wa mwana dar es salaam mbona siupati