Hip Hop

Jr Xavi Hernandez

Senior Member
Joined
Feb 25, 2022
Posts
182
Reaction score
261
Wakuu kwema, Habari za asubuhi? Njooni kidogo tuzungumze.

Hivi ipi tofauti ya MC na Rapper kwenye Hip Hop?

Nini kinawatofautisha? Nitajieni Ma-Rapper na Ma-MC.

#forgive me
 
Mmoja anaonesha kipaji chake cha kuchana,flow,Ku entertain,styles,mwingine anatumia MANENO kuelimisha jamii,kufunza na kuonya..
 
Mimi naji rate kama Rapper sio MC, mtu yoyote anaweza kuwa MC yan Mic Controller mfano mshereheshaji kama kwenye sherehe sio wote wanaweza ku rap. Rappers wote ni ma MC, sio MCs wote ni ma rapper


Please subscribe kwenye channel yangu ukipenda maudhui 🙏
 
mfano Ngwair anakaa kama

mfano Ngwair anakaa kama MC???
Ngwair ni rapper, hana ujumbe wala ufundi wa MANENO,but ana rhyme vizuri,flow on point,ana rap na kuimba,kama kwa Godzilla, pia rappers ni freestyler wazuri sana,ni Mara chache kumkuta Mc ana freestyle vizuri coz wao ni waandishi na watunzi,wakati freestyle kuunganisha tu MANENO yanayo ryhme..kumbuka kwenye hit em up Tupac alimwambia Big kua THIS IS NOT A freestyle Battle,since PAC sio mzuri wa freestyle but Big ndio Kazi zake..angalia moja ya rapper mkali Godzilla(RIP) Hakuna mkali wa mistari but he was real hiphop,.
 
Kwa maana hiyo Profesa,Jay Mo ni Mc, kwa maelezo yako. Shukrani mkuu..
 
Kuna tofauti kubwa kati ya kwanza na rapper wa pili/wa pili anataka wa kwanza huku hajapata umahiri.........(ONE INCREDIBLE)

HIPHOP(MC) ni vile unavyoishi......RAP(Rapper) ni vile unavyofanya(RAPPER).....(FID Q)

MC- huyu ni mchenguaji yoyote ambaye anafata MISINGI na NGUZO katika uchanaji Yani handaki(mwakilishi wa mitaa) katika harakati zozote kwenye umma.

RAPPER-ni mchenguaji yeyote yule(whack) anachana kuhisisha uhalisia wake na hausiani na misingi au nguzo zozote za HIPHOP kiuhalisia ndiyo Maana hata Msaga sumu au chitokolo kuku na wenyewe ni marraper pia haaahaaa!

Tafuta kitabu kimoja kinaitwa CHUO KIKUU CHA HIPHOP kimeandikwa na MALLE MARXIST utajifunza mengi kwenye huu utamaduni wa HIPHOP!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MC vs Rapper = Traditional HipHop vs Modern Hip Hop

MCs huwa concious na mambo yanayoendelea kwa jamii, wanaimba kuonesha au kubadili kitu flani Ila kuburudisha sio sana kama Fid Q.. Wapo zaidi kutengeneza punchlines za kufikirisha

Rappers hawa hawapo concious sana maana kwa muono wangu ni kama waburudishaji au watu wanaoi_shape hiphop iweze kuendana na vizazi au watu wa aina tofauti maana wao wameegemea kwa commercial success. Hapa ndo yupo kama young lunya, anawaza kutengeneza hits tu sio kukufikirisha

Huu ni mtazamo wangu ✊✊
 
Shukrani sana....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…