Mara nyingi kuuwawa ni tofauti na ajali, nadhani anaweza kusema kutokana na ajali fulani kutokea mahala fulani watu kadhaa wamepoteza maisha.
Na kingine hiyo title yako sio Hipi ni Ipi
DA umeona eeh! red..Kiswahili sahihi ni kupotesha maisha, kufa..sio kuuwawa ni kifo cha kukusudiwa yaani mfano mtu fulan kumuua mwenzako kwa sababu fulani..labda jambazi anavyokuwa anapambana na polisi halafu polisi wakifanikiwa hapo tunaweza kusema ameuwawa na polisi au majambazi..nawakilisha tuu jamen..