Hiplife

Kitia

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2006
Posts
418
Reaction score
77
Nilipokuwa nakua, nilikuwa nasikia muziki wa Ghana uliojulikana kama Highlife ambao ulikuwa unapendwa sana na wazazi pamoja na dada zetu. Kizazi cha sasa kimeweza kugeuza mtindo wa Higlife na kuugeuza kuwa Hiplife. Nimependa jinsi vijana hawa walivyoweza kuendeleza muziki wao kulingana na wakati.

[ame=http://www.youtube.com/watch?v=xcNOuWn4sGc]YouTube - Mzbel - Edey Bii[/ame]

[ame=http://www.youtube.com/watch?v=DfBVmYB9U8I]YouTube - Awoso me[/ame]
 
More Hiplife:

[ame=http://www.youtube.com/watch?v=_ylA59j8s7s]YouTube - MZBEL - 16 Years[/ame]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…