LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
Kwamba ukiwa Na hirizi ya Simba uta demonstrate sifa, nguvu Na uwezo kama WA mnyama Simba kama vile kuogopeka nakadhalika.
Muumini WA Dini ZA kiafrika ( ambae anaweza kuwa muislamu au mkristo) mchawi WA kiafrika, mganga wa kiafrika, mchawi WA kiarabu, mganga WA kiarabu akitaka hirizi ya Simba ataenda Mikumi kuzungumza na Afisa Wanyama Pori kumwambia " Bwana nahitaji kununua hirizi ya Simba au siku mkibahatika kupata hirizi ya Simba basi wasiliana Na Mimi nije niinunue. Au ataenda straight Kwa mganga anae toa hirizi ya Simba ili apewe hirizi hiyo
Alternatively anaweza kunywa damu mbichi ya Simba ili Ile roho( force of life ) ya Simba ihamie kwake . Wengine hupika Na Kula Moyo WA Simba, wengine hutengenez hirizi Kwa kutumia vitu mbalimbali kutoka Kwa mnyama Simba, vitu kama vile Meno, mkia, mifupa, Ngozi, mafuta, mavi, mkojo, nywele nakadhalika...
But FREEMASONS WAKITAKA HIRIZI YA SIMBA HUFANYA KAMA IFUATAVYO:
Humsoma Simba kupitia maandiko mbalimbali ya Kitaalamu yaliyo Yuwa Na walio fanya tafiti mbalimbali ZA Kitaalamukuhusu Simba.
Katika maandiko hayo jamaa watasoma kuhusu tabia ZA Simba, mienendo ya Simba, jinsi anavyo winda, jinsi anavyo husiana Na wanyama wenzake , jinsi anavyo husiana Na wanyama wengine, strength and weaknesses zake, jinsi anavyo attack, jinsi anavyo defend Na kwanini Wanyama wengine wanamuogopa nakadhalika.
Masonic huyu akisha zisoma Na kuzielewa tabia ZA Simba,huanza kuzi iga Na kuzipractice Na mwisho WA siku huzi adapt kabisa .
Huanza kuendesha mambo Na mipango yake katika sura Na taswira ya Simba. Mwisho WA siku Masonic huyu huwa kama Simba kabisa Na hufanya mambo yake katika eneo lake la kazi/ shughuli yake kama anavyo fanya Simba Na hu acquire sifa zote ZA Simba kama vile kuogopeka Na kuheshimika, Kauli yake kusikilizwa nakadhalika..
Huyu ndugu yangu mswahili hatopata matokeo ya Kile anacho kihitaji Kwa Sababu NJIA aliyo tumia sio sahihi. Masonic ndio ametumja NJIA Sahihi.
Mswahili akitaka kuwa Na Bahati kama ya mtende kuotea jangwani basi ataenda kufanya kafara chini ya mti WA mtende kumuomba kudama/ Jini anae tawala mti WA mtende awe pamoja nae ili amfanye Na yeye kuwa Na Bahati kama ya mtende lakini Masonic kama akitaka kuwa Na Bahati kama ya mtende basi atasoma sifa ZA mtende ZA Kitaalamu Na mwisho ata anza kuzipractice Na hatimae Ku manifest results zenye sura Na taswira ya mtende. Kwa mfano atagundua kwamba ili mtende uweze kuota jangwani lazima uwe Na mizizi Imara basi Na yeye kwenye Jambo lake kama Ni biashara Kazi ndoa au uongozi atahakikisha anaweka mizizi Imara, mizizi itakayo msaidia kustawi Na kusimama hata katika kipindi ambacho mazingira hayata mruhusu kusimama etc. mifano IPO Mingi Sana.
I hope umejifunza kitu kikubwa katika Maisha yako.
U can be anything in the world kama utaiga maarifa hayo ya ndugu zetu Masonic.
Muumini WA Dini ZA kiafrika ( ambae anaweza kuwa muislamu au mkristo) mchawi WA kiafrika, mganga wa kiafrika, mchawi WA kiarabu, mganga WA kiarabu akitaka hirizi ya Simba ataenda Mikumi kuzungumza na Afisa Wanyama Pori kumwambia " Bwana nahitaji kununua hirizi ya Simba au siku mkibahatika kupata hirizi ya Simba basi wasiliana Na Mimi nije niinunue. Au ataenda straight Kwa mganga anae toa hirizi ya Simba ili apewe hirizi hiyo
Alternatively anaweza kunywa damu mbichi ya Simba ili Ile roho( force of life ) ya Simba ihamie kwake . Wengine hupika Na Kula Moyo WA Simba, wengine hutengenez hirizi Kwa kutumia vitu mbalimbali kutoka Kwa mnyama Simba, vitu kama vile Meno, mkia, mifupa, Ngozi, mafuta, mavi, mkojo, nywele nakadhalika...
But FREEMASONS WAKITAKA HIRIZI YA SIMBA HUFANYA KAMA IFUATAVYO:
Humsoma Simba kupitia maandiko mbalimbali ya Kitaalamu yaliyo Yuwa Na walio fanya tafiti mbalimbali ZA Kitaalamukuhusu Simba.
Katika maandiko hayo jamaa watasoma kuhusu tabia ZA Simba, mienendo ya Simba, jinsi anavyo winda, jinsi anavyo husiana Na wanyama wenzake , jinsi anavyo husiana Na wanyama wengine, strength and weaknesses zake, jinsi anavyo attack, jinsi anavyo defend Na kwanini Wanyama wengine wanamuogopa nakadhalika.
Masonic huyu akisha zisoma Na kuzielewa tabia ZA Simba,huanza kuzi iga Na kuzipractice Na mwisho WA siku huzi adapt kabisa .
Huanza kuendesha mambo Na mipango yake katika sura Na taswira ya Simba. Mwisho WA siku Masonic huyu huwa kama Simba kabisa Na hufanya mambo yake katika eneo lake la kazi/ shughuli yake kama anavyo fanya Simba Na hu acquire sifa zote ZA Simba kama vile kuogopeka Na kuheshimika, Kauli yake kusikilizwa nakadhalika..
Huyu ndugu yangu mswahili hatopata matokeo ya Kile anacho kihitaji Kwa Sababu NJIA aliyo tumia sio sahihi. Masonic ndio ametumja NJIA Sahihi.
Mswahili akitaka kuwa Na Bahati kama ya mtende kuotea jangwani basi ataenda kufanya kafara chini ya mti WA mtende kumuomba kudama/ Jini anae tawala mti WA mtende awe pamoja nae ili amfanye Na yeye kuwa Na Bahati kama ya mtende lakini Masonic kama akitaka kuwa Na Bahati kama ya mtende basi atasoma sifa ZA mtende ZA Kitaalamu Na mwisho ata anza kuzipractice Na hatimae Ku manifest results zenye sura Na taswira ya mtende. Kwa mfano atagundua kwamba ili mtende uweze kuota jangwani lazima uwe Na mizizi Imara basi Na yeye kwenye Jambo lake kama Ni biashara Kazi ndoa au uongozi atahakikisha anaweka mizizi Imara, mizizi itakayo msaidia kustawi Na kusimama hata katika kipindi ambacho mazingira hayata mruhusu kusimama etc. mifano IPO Mingi Sana.
I hope umejifunza kitu kikubwa katika Maisha yako.
U can be anything in the world kama utaiga maarifa hayo ya ndugu zetu Masonic.