His name will be Jesus because he will save his people from their sins

His name will be Jesus because he will save his people from their sins

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,095
Reaction score
4,632
Bwana Yesu alizaliwa ili atusaidie kuondoa dhambi zetu. Je Amefanikiwa?

Hili ndilo jambo la kujiuliza kila mmoja wetu kama Yesu Kristu alifanikiwa katika mission Yake.
Sasa neno "dhambi" siyo kila mtu anapenda kulitumia.

Kwa sababu,katika kabila letu kwa mfano, mwanamke hawaruhusiwi kula mayai,ni dhambi.

Lakini yapo mambo ambayo vyovyote tutakavyoyaita yanaleta usumbufu kwa wengine au yanasababisha tunaharibikiwa katika mambo yetu.

Hayo ndiyo mambo ambayo lazima tuyaache.
 
Chikulia una njaa, msaada wa chakula ukaletwa, ukawekewa mezani Ili uchukue hatua ya Kula.

Baadae ukafa njaa, kwakuwa huku chukua hatua ya Kula, Hapa ni mission ya nani imefeli?
 
YOHANA 5:37

Naye Baba aliyenituma hunishuhudia,
nyinyi hamjapata kamwe kusikia sauti yake wala kuona uso wake.

Wale mnaosema Yesu ni Mungu,
naomba ufafanuzi hapa,Mungu anatumwa na nani tena?
 
Back
Top Bottom