A ALISTIDES AUGUSTINE Member Joined Oct 4, 2013 Posts 5 Reaction score 0 Oct 5, 2014 #1 Wadau wa jf kwa wanao taka kuchangia hisa zao ila kuanzisha kampuni tujiorozeshe apa wazo la biashara liko tiari. Changamkia fursa
Wadau wa jf kwa wanao taka kuchangia hisa zao ila kuanzisha kampuni tujiorozeshe apa wazo la biashara liko tiari. Changamkia fursa
Z Zamazamani JF-Expert Member Joined Jun 13, 2008 Posts 1,869 Reaction score 787 Oct 5, 2014 #2 Mi jiko tayari...but ningeaomba kujua hilo wazo la biashara hata kwa pm plz...
MKUDE SIMBA JF-Expert Member Joined Apr 5, 2014 Posts 305 Reaction score 167 Oct 5, 2014 #3 kichwa kichwa ivo
Ibusai Member Joined Apr 25, 2014 Posts 40 Reaction score 4 Oct 5, 2014 #4 ALISTIDES AUGUSTINE said: Wadau wa jf kwa wanao taka kuchangia hisa zao ila kuanzisha kampuni tujiorozeshe apa wazo la biashara liko tiari. Changamkia fursa Click to expand... Biashara gan ndugu na ueleze angalau mchanganuo wake, hisa ni kiasi gan.. Weka mambo wazi ili wadau wachambue na kujiridhisha, mbona kama unaficha.
ALISTIDES AUGUSTINE said: Wadau wa jf kwa wanao taka kuchangia hisa zao ila kuanzisha kampuni tujiorozeshe apa wazo la biashara liko tiari. Changamkia fursa Click to expand... Biashara gan ndugu na ueleze angalau mchanganuo wake, hisa ni kiasi gan.. Weka mambo wazi ili wadau wachambue na kujiridhisha, mbona kama unaficha.
IZENGOB JF-Expert Member Joined Jun 28, 2014 Posts 323 Reaction score 317 Oct 7, 2014 #5 isije ikawa DESSI
Mnyampaa msingida Senior Member Joined Aug 5, 2013 Posts 180 Reaction score 54 Oct 7, 2014 #7 Fafanua vizuri. Fursa naihitaji hiyo
jashmoe32 JF-Expert Member Joined Dec 4, 2012 Posts 1,089 Reaction score 424 Oct 8, 2014 #8 kaka nakuunga mkono kwa hyo idea na sidhan kama hapa ni nafasi muafaka kwa wewe kutoa hyo idea mana kuna watu always kucriticiz au kuiba idea ya mtu. Mungu akufanikishe katika hiyo plan kaka
kaka nakuunga mkono kwa hyo idea na sidhan kama hapa ni nafasi muafaka kwa wewe kutoa hyo idea mana kuna watu always kucriticiz au kuiba idea ya mtu. Mungu akufanikishe katika hiyo plan kaka
B Babeshi Mwamba Senior Member Joined Jan 7, 2013 Posts 196 Reaction score 39 Oct 9, 2014 #9 mimi nipo tayari,nipatie info kidogo then at the end security ipoje.