Hisa za facebook zashuka ghafla

Hisa za facebook zashuka ghafla

To invest in shares you need to be cleaver
 
Si ajabu. who needs 200 friends anyway? Wote wa hao wa nini? Urafiki wa facebook wa mashaka kweli.
 
Short this sucker until the single digits.
 
Hata za CRDB zimeshuka toka 150 hadi 125 sawa na 16.67% ni zaidi ya anguko la Facebook
 
Fanya mchezo nakuoa mchina nini labda Wamarekani hawajafurahia ndoa yake aliye funga na mchina.
 
Imekua vizuri kwa sababu nadhani wamepunguza waviziaji ambao hurukia hisa ili kutengeza pesa za chapuchapu kwa mamilioni. Hii hisa ingekua vizuri kuanzia kati ya Dola moja na Kumi, kiasi hata watumiaji wake wapate uwezo wa kuwekeza katika kitu wanachotumia. Hata hivi kunawaviziaji kama vile (Hedge Funds) wamekausha. Wanaonunu hisa kwa kuafuata uvumi, ndio walokula mwata na kukimbia. Hii Kampuni haindi popote angalau sio sasa hivi. Mwenye uwezo wa kununu anunue. Hivi karibuni wamechuma Dola Bilioni Moja, lakini nadhani hawapendi thamani ya hisa yao isikurupushwe kwa uvumi.
 
CIA wanadai facebook is "the reason why we invented the internet."

<strong>
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom