Kwa haya makampuni yetu tunavyoyajua kila mwaka wanatoa financial statement zao zina loss kila mara kukwepa corporate tax sijui hapo minority shareholder kama wewe utapata wapi pesa yako.
Zingekuwa za Air Tanzania Ningenunua -- watu wameuwa shirika letu, wamelipamba hili limekuwa kama national airline, then sisi watanzania tunashangilia kwenda kununua hisa.
Aisee hela ninazo ila SINUNUI - naenzi na nakumbuka THE WINGS OF KILIMANJARO --- nasikia uchunguu...